popiexo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 742
- 182
Kwa upande mmoja naona Stuart amefanya chaguo sahihi hasa kutokana na nafasi anayo chezea "combative midfielder" pamoja na kwamba ataongoza timu yenye wazoefu wengi na inayofuatiliwa sana na viombovya habari kwa staili yake ya maisha ndani na nje ya uwanja ni mtu aliyejijengea heshima
Tuangalia strength na weakness zake na kama atafaa kuwa chaguo lakudumu
Karibuni.