Parker to captain England

popiexo

JF-Expert Member
Oct 26, 2010
742
182
scottparkerengland2012_275x155.jpg
Kwa upande mmoja naona Stuart amefanya chaguo sahihi hasa kutokana na nafasi anayo chezea "combative midfielder" pamoja na kwamba ataongoza timu yenye wazoefu wengi na inayofuatiliwa sana na viombovya habari kwa staili yake ya maisha ndani na nje ya uwanja ni mtu aliyejijengea heshima

Tuangalia strength na weakness zake na kama atafaa kuwa chaguo lakudumu

Karibuni.
 
:shetani::shetani:The post/thread has been eaten by the ghost!!:help::help::help::help:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom