Rollingstone,
Miaka michache iliyopita niliwahi kukutana na Kampuni iliyoitwa Spices Tz Ltd. Hawa walikuwa Wa-Dutch walioshughulika na utoaji wa mbegu za kilimo hai cha Paprika, ukuzaji wa zao na ununuzi nyanda za juu kusini. Walikuwa na mikataba na wakulima maeneo ya Kilolo-Iringa na walikuwa wanauza moja kwa moja kwenye Kampuni yao Mama huko Uholanzi. Kwa taarifa niliyopata ni kwamba hii Kampuni haikupata ikipata mzigo wa kutosha katika misimu na hivyo kuamua kufunga biashara Tz. Wapo sasa Malawi na Msumbiji wanafanya kazi na Cheetah Co. Jaribu kusearch Cheetah Paprica na uwasiliane nao. Ukikosa mawasiliano, ni-PM J3 nikutumie.
Miaka michache iliyopita niliwahi kukutana na Kampuni iliyoitwa Spices Tz Ltd. Hawa walikuwa Wa-Dutch walioshughulika na utoaji wa mbegu za kilimo hai cha Paprika, ukuzaji wa zao na ununuzi nyanda za juu kusini.
Walikuwa na mikataba na wakulima maeneo ya Kilolo-Iringa na walikuwa wanauza moja kwa moja kwenye Kampuni yao Mama huko Uholanzi. Kwa taarifa niliyopata ni kwamba hii Kampuni haikuwahi kupata mzigo wa kutosha katika msimu na hivyo kuamua kufunga biashara Tz.
Wapo sasa Malawi na Msumbiji wanafanya kazi na Cheetah Co. Jaribu kusearch Cheetah Paprica na uwasiliane nao. Ukikosa mawasiliano, ni-PM J3 nikutumie.
Mkuu uko Mkoa gani? Kama uko Arusha itafute kampuni moja inaitwa FaidaMali, au Faida Market Linkage company, wameisha fanya sana linkage katika hiyo kitu, Ila mkuu wakati mwingine usilime kitu bila kujua utamzuia nani, make hata kama utapata soko mnunuzi ndo atakae kupangia bei na si wewe,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.