Munru
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 1,340
- 664
salama wanajamvi,
katika mechi iliyommalizika hizi punde, nimevutiwa sana na uwezo wa huyu jamaa, he is real striker,
hawa jamaa wa CHELSEA ni wamefungwa goli mbili na huyu jamaa ambazo ninaweza kuzi rate kama miongoni wa goli bora kabisa msimu huu wa EPL,
swali la kujiuliza, ivi hapa nyumbani hatuna akina Demba Cisse ??
kama wapo mbona hatuoni mambo kama haya ??
kweli wachezaji wetu wa kitanzania muongeze bidii, wachezaji wazuri wanatengezwa na kupikwa, wanapikwa kwa mazoezi na kujituma
tunataka viwango hivi vya DEMBA-CISSE hpa kwetu pia
If the first goal was impressive, the second was sensational.
WAKUU NADHANI HILI NI GOLI LA MSIMU
katika mechi iliyommalizika hizi punde, nimevutiwa sana na uwezo wa huyu jamaa, he is real striker,
hawa jamaa wa CHELSEA ni wamefungwa goli mbili na huyu jamaa ambazo ninaweza kuzi rate kama miongoni wa goli bora kabisa msimu huu wa EPL,
swali la kujiuliza, ivi hapa nyumbani hatuna akina Demba Cisse ??
kama wapo mbona hatuoni mambo kama haya ??
kweli wachezaji wetu wa kitanzania muongeze bidii, wachezaji wazuri wanatengezwa na kupikwa, wanapikwa kwa mazoezi na kujituma
tunataka viwango hivi vya DEMBA-CISSE hpa kwetu pia
If the first goal was impressive, the second was sensational.
WAKUU NADHANI HILI NI GOLI LA MSIMU
Last edited by a moderator: