Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,141
- 13,215
Sikia hii; jamani nimeamua kuirusha hii maana nayo ni habari, eti Kocha wa timu kubwa kama Yanga hajalipiwa umeme na maji hadi akakatiwa....na kwamba timu haijafanya mazoezi kwa siku saba kutokana na UWANJA kujaa maji huku ikjiandaa kucheza na Zamalek!!!