Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
da nakumbuka wakati nasoma Nyakato sec,ilikua inakubalika kwa mapractical pekee..wanafunz toka Iungo,Mugeza,kahororo na omumwani walikua watukabari.ila kisa ninachokumbuka kipindi niko A level nilitumiwa maswali feki a.k.a posibo usiku uleule nikampigia dogo wa mchizi wangu (alikua anasoma form 4) nikampa maswali na majibu..akakomaa kinoma kesho yake akakuta ni feki haswaa hamna swali hata moja! Matokeo yalipotoka akapata div 4,hadi ninapoongea sijawahi kwenda kwao na kutokana na aibu iliyonikuta naogopa kupokea simu yake.