maliyamungu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 564
- 412
Wabongo bana tunakaa kulaumu tu bila kujua sababu,issue yule mama aliweka eneo bond na kampa musofe hati feki ya kiwanja, sasa mda wa kulipa tayali mama kamgeuzia jamaa kibao na mama kwa kuwa nae mpigaji kacheza na media serikali na wanaharakati ukweli msofe ndio kapigwa mil 60. Musofe kachia kiwanja cause inam cost kwenye issue zake, wengi tunaponda issue tusizojua jamaa mpigaji lakini ni kwa wazungu tu kwenye net ambao wanatutukana kila siku wanaigeria wanapesa kweli ni upigaji wakina manji, rostam,jitu patel na waindi kibao wapigaji,so wana jamvi kabla ya kukoment tujue na sababu. Ok weekend njema.