Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,990
- 7,364
mbona hujasema wakatoloki wanatoa huduma za jamii kuliko taasisi nyingine yeyote? si ajabu wazazi wako wanatibiwa kwenye hospitali inayoendeshwa na wakatoloki huko kijijini kwenu.Inawezekana kwani kanisa katoliki i kama ccm kazi yao kufisadi vitu.wanagombania kunywa wiski,kiongozi wa dini anakunywa pombe wamefulia kidini.