figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,490
- 54,884
Papa Msoffe kapewa siku saba awe amerudisha kiwanja alichomdhulumu bibi Devotha Mulai.
kiwanja hicho alikuwa amekipata kwa njia za mjini na kukizungushia ukuta na ndani kujenga nyumba. Msoffe alijitetea kwamba alikuwa hajapata malalamiko kutoka sehemu yoyote kwani hicho kiwanja anakimiliki kihalali.
Siku hizo alizopewa ni amri toka serikalini.
mia
kiwanja hicho alikuwa amekipata kwa njia za mjini na kukizungushia ukuta na ndani kujenga nyumba. Msoffe alijitetea kwamba alikuwa hajapata malalamiko kutoka sehemu yoyote kwani hicho kiwanja anakimiliki kihalali.
Siku hizo alizopewa ni amri toka serikalini.
mia