Papa Msofe ni mfanyabiashara au tapeli Maarufu?

Hii Tanzania yetu, tunasifia watu wenye pesa kama ndo wamefanikiwa bila kujari pesa imepatikanaje. Kwa sababu hiyo tumeua ubunifu na moja ya matokeo ni hili la viwanda vyoote karibu kufa kifo cha mende.
 
Yeye pamoja na wafuatao chini ni matapeli wakubwa wa dhahabu na shaba feki toka Congo
Abdul Mteketa(sasa mbunge wa kilombero)
Papaa Mabeba
Ndama mtoto wa Ng'ombe
Mkenya Mmmoja akiitwa Mathias Mattako
Muzamil Katunzi
Chacha Mapessa

Aiseee!!!! Masaburi tena??? Au umekosea???
 
Hawa Wangese Wapo Wengi Mwingine Ni James Sekei aliyekuwa mliki wa Travel Mate ni kundi moja na aurola.
 
hatari mpaka anajulikana ikulu ya mtu aliyepita na aliyepo zere hu share mavuno ili kunyamazisha soo police mtawasingizia.
 
Huyu Tapeli Msofe naye wampige sindano ya kusinyaa uume kama walivyo mfanyia tapeli mwenzake mdhamir katunzi huko china.
 
nachofaham_jamaa anafanya biashara ya kokoto, mchanga na kifusi pale kunduch na ameanza kama dalali lakn alipata kubwa akanunua lori na kwa kwel ni mchapakaz_sasa kafungua ofis na kaongeza malori, anapenda sana misifa hasa kupaishwa kwny muziki. Ni opportunist wa maana

wewe vipi bana!!!!!!!
biashara ya mchanga na maroli ndo uwe maarufu tz nzima? sifa haziji hivi hivi wewe au hujawahi muona anapoenda kuwatuunza wanamuziki pale stejini? sema hiyo yaweza kuwa ni moja ya kazi zake, ogopa hawa mapaa wanavyomwaga hela huwezi amini.
 
Yaani raia wa kawaida wanaweza kuwa na taarifa nzuri za hawa matapeli lakini geshi ra porisi rimerara????sasa ulinz shirikish uko wapi????polisi jamii imelalia wap????
Hawa matapeli wakifa
Viongozi wote wa police wataomba kustaafu, kwa taarifa yako hawa jamaa wanapofanya dili zinasimamiwa maofisa wa police na magari yasiyopungua 4 na watu wa usalama yani ikuli yote inahamia kwenyedili hata watu wa tra wapp. Kikwete anajua na ananyamaza yeye anaomba mungu muda wake uishe, maana hawa jamaa marufu kuliko rais, yani ni bora ukutane na msofe au muzamil kuliko raisi maana utakupiga kamba tu.

Kama kuna mtu wa usalama anabisha yupo humu au polisi waseme tuanze kuwataja majina.

Natanguliza samahani kwa kutaja jona la muheshimiwa raisi pamoja na kina msofe na mzamil. Aurora ndio jambazi klabisa tena la kutunia silaha.
 
Yeye pamoja na wafuatao chini ni matapeli wakubwa wa dhahabu na shaba feki toka Congo
Abdul Mteketa(sasa mbunge wa kilombero)
Papaa Mabeba
Ndama mtoto wa Ng'ombe
Mkenya Mmmoja akiitwa Mathias Mattako
Muzamil Katunzi
Chacha Mapessa

mathias ****** alipiga pigo moja akasumbua sana akatoa kitu cha benz na vogue!kisu kimekata anang'aa na benz lake limekuwa kama peugeot 504 no service!ila respect kwa hawa jamaa!kwanza hawana muda wa kumdiscuss mtu wao ni pesa tu!
 
nachofaham_jamaa anafanya biashara ya kokoto, mchanga na kifusi pale kunduch na ameanza kama dalali lakn alipata kubwa akanunua lori na kwa kwel ni mchapakaz_sasa kafungua ofis na kaongeza malori, anapenda sana misifa hasa kupaishwa kwny muziki. Ni opportunist wa maana
wezi wote wanakitu cha kuzugia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom