Viper
JF-Expert Member
- Dec 21, 2007
- 3,667
- 1,400
Huyo anaitwa Fikir Madinda umemix madesa kaka
ni yule mwenye magari ya madinda trans...
Huyo anaitwa Fikir Madinda umemix madesa kaka
ni yule mwenye magari ya madinda trans...
kimambi alikuwa anauza unga?????????????Pia hawa ma pedeshee huchukua binti yeyote aliye kwenye mashindano ya umiss. LUNDENGA hupewa pesa ndefu kumpa ruhusa binti kupata dinner na pedeshee!pia hili kundi hutumiwa na vigogo serikalini kuwatafutia wanawake kuwapeleka mpaka hotel,kigogo kazi yake hua kukojoa na kuondoka.pia cheque za ufisadi hupitia ktk akaunti zao.mfano kimambi muuza unga alipofariki tibaigana alilia sana!
Shemeji yako nini? mbona imekuuma sana polee, kwenye ukweli kutabaki hivyo hivyo.Achane Majungu.......kwani ukijua kama alikuwa tapeli au alikuwa mwezi itakusaidia nini? Acheni mtima nyongo...nyie sio police wala nini.............majungu tu.........hapa kwenye huu mtandao anatakiwa great thinkers weeee toka kafanye kazi nyingine
ila hawatapeli wazawa ndicho anachonifurahishaga anatapeli wawekezaji matapeli
Ndio huyo kati kati akimwaga alichovuna:
Hapo kwenye red huyo mtu ndie babake dada wa Uturn au kama ndioe baba yake basi tumsilaumu huyo bintiPia hawa ma pedeshee huchukua binti yeyote aliye kwenye mashindano ya umiss. LUNDENGA hupewa pesa ndefu kumpa ruhusa binti kupata dinner na pedeshee!pia hili kundi hutumiwa na vigogo serikalini kuwatafutia wanawake kuwapeleka mpaka hotel,kigogo kazi yake hua kukojoa na kuondoka.pia cheque za ufisadi hupitia ktk akaunti zao.mfano kimambi muuza unga alipofariki tibaigana alilia sana!
Hivi Papaa msofe ni kabila gani?
Yeye pamoja na wafuatao chini ni matapeli wakubwa wa dhahabu na shaba feki toka Congo
Abdul Mteketa(sasa mbunge wa kilombero)
Papaa Mabeba
Ndama mtoto wa Ng'ombe
Mkenya Mmmoja akiitwa Mathias Mattako
Muzamil Katunzi
Chacha Mapessa