Panya

jrmlaurence

Member
Dec 2, 2010
80
57
Panya watatu walikuwa wanabisha nani ni mkali kati yao, Panya wa kwanza;mi naweza kutegua mitego yote ninayotegeshewa. Panya wa pili;mi naweza kunywa maziwa hata yakiwekwa sumu.
Panya wa tatu akainamisha kichwa na kuanza kuondoka,wenzie wanamuuliza we vipi,akaitikia "naenda kufanya mapenzi na paka"
 
mouse_attacking_cat-11942.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom