jrmlaurence
Member
- Dec 2, 2010
- 80
- 57
Panya watatu walikuwa wanabisha nani ni mkali kati yao, Panya wa kwanza;mi naweza kutegua mitego yote ninayotegeshewa. Panya wa pili;mi naweza kunywa maziwa hata yakiwekwa sumu.
Panya wa tatu akainamisha kichwa na kuanza kuondoka,wenzie wanamuuliza we vipi,akaitikia "naenda kufanya mapenzi na paka"
Panya wa tatu akainamisha kichwa na kuanza kuondoka,wenzie wanamuuliza we vipi,akaitikia "naenda kufanya mapenzi na paka"