Panya road waibua taharuki Mbagala

IZENGOB

JF-Expert Member
Jun 28, 2014
323
316
Tukio hili limetokea leo saa 3 usiku Mbagala mwisho na shuhuda wa tukio hilo nikiwa mimi mwenyewe.

Nikiwa njiani narudi nyumbani kulitokea taharuki kubwa baada ya tetesi kusikika kuwa Vijana watukutu maarufu kama PANYA ROAD wamevamia stand ya Mbagala wakifanya wakipora mali na kupiga watu hovyo ndipo wananchi walianza kukimbia huku na kule kuokoa maisha yao.

KILICHONISHANGAZA
Nikiwa kwenye foleni nimeshuhudia Trafiki waliokuwa zamu wakitimka mbio huku wakivua kofia na mashati yao meupe na kubaki na nguo za ndani maarufu kama sing'lendi.
Swali nalojiuliza hawa askari wetu wanashindwa hata kufanya upepelezi wa mwanzo kujua adui yuko upande gani,ana siraha gani na atakabiliana naye vipi.
 
Hapo stendi hapakuwepo na wanaume?

Hivyo vitoto vitavamiaje stendi na kuanza kupiga na kupora watu?

Watanzania wengine ni watu wa ajabu sana. Yaani watu mpo stendi mnaachia vitoto viwapore na kuwapiga?

Wahshi kabisa!!
 
Tukio hili limetokea leo saa 3:usiku Mbagala mwisho na shuhuda wa tukio hilo nikiwa mimi mwenyewe, Nikiwa njiani narudi nyumbani kulitokea taharuki kubwa baada ya tetesi kusikika kuwa Vijana watukutu maarufu kama PANYA ROAD wamevamia stand ya mbagala wakifanya wakipora mali na kupiga watu hovyo ndipo wananchi walianza kukimbia huku na kule kuokoa maisha yao.

KILICHONISHANGAZA
Nikiwa kwenye foleni nimeshuhudia Trafiki waliokuwa zamu wakitimka mbio huku wakivua kofia na mashati yao meupe na kubaki na nguo za ndani maarufu kama sing'lendi.
Swali nalojiuliza hawa askari wetu wanashindwa hata kufanya upepelezi wa mwanzo kujua adui yuko upande gani,ana siraha gani na atakabiliana naye vipi.

traffic hawataki kufa wakiwa kazini
 
Tukio hili limetokea leo saa 3:usiku Mbagala mwisho na shuhuda wa tukio hilo nikiwa mimi mwenyewe, Nikiwa njiani narudi nyumbani kulitokea taharuki kubwa baada ya tetesi kusikika kuwa Vijana watukutu maarufu kama PANYA ROAD wamevamia stand ya mbagala wakifanya wakipora mali na kupiga watu hovyo ndipo wananchi walianza kukimbia huku na kule kuokoa maisha yao.

KILICHONISHANGAZA
Nikiwa kwenye foleni nimeshuhudia Trafiki waliokuwa zamu wakitimka mbio huku wakivua kofia na mashati yao meupe na kubaki na nguo za ndani maarufu kama sing'lendi.
Swali nalojiuliza hawa askari wetu wanashindwa hata kufanya upepelezi wa mwanzo kujua adui yuko upande gani,ana siraha gani na atakabiliana naye vipi.
wazee wa interigensia mpooo?
 
Hao polisi kama hawana silaha bora tu, maana hata hizo nyota kuongezewa wangekuwa kaburini...inachekesha lakini.
 
Maafande wenye mavazi meupe huwa wanaweza kukimbia?
Weka kapicha basi ata ya watu wakikimbia
 
Tukio hili limetokea leo saa 3:usiku Mbagala mwisho na shuhuda wa tukio hilo nikiwa mimi mwenyewe, Nikiwa njiani narudi nyumbani kulitokea taharuki kubwa baada ya tetesi kusikika kuwa Vijana watukutu maarufu kama PANYA ROAD wamevamia stand ya mbagala wakifanya wakipora mali na kupiga watu hovyo ndipo wananchi walianza kukimbia huku na kule kuokoa maisha yao.
KILICHONISHANGAZA
Nikiwa kwenye foleni nimeshuhudia Trafiki waliokuwa zamu wakitimka mbio huku wakivua kofia na mashati yao meupe na kubaki na nguo za ndani maarufu kama sing'lendi.
Swali nalojiuliza hawa askari wetu wanashindwa hata kufanya upepelezi wa mwanzo kujua adui yuko upande gani,ana siraha gani na atakabiliana naye vipi.

Nami nimeona hyo taharuk nikiwa kwenye gari nikitokea Kusini,pamoja na hayo mbagala haikuwa na umeme mda huo,isitoshe kulikua na foleni kubwa sana,sikujua wale watu wanakimbia nini???
 
Khaaaa,, hii aibu kweli kama askari wenyewe wanakimbia,,, loooohhh.., raia wa kawaida lazima watakuwa wanang'ang'ania kuingia uvunguni mwa kitanda..

Kwa hiyo wanaume wa dar bado wote wanaogopa panya road...:(:(
 
Nivema kuokoa maisha yako ungekuwa ww ungefanyaje? Remember askari nae mtu hivyo kwanza ajinusulu mwenyewe then ndio apige cm kuomba msaada ila Nimecheka
 
Aisee! Hivyo vipanya vina silaha gani mpaka watu wachanganyikiwe na kukimbia kama wehu?! Wanaume wa dar wanamatatizo.
 
Mh traffic hana silaha yeyote apambane na wajinga wasio na akili wenye mapanga...mbona mnataka tu kutusi askari wetu aisee
Askari ana anafundishwa jinsi ya kupambana na adui mwenye siraha tatizoaskari wetu wali nazi.
 
Jaman mbona aibu kweli vitoto hivi mkuu au mwny wizara hii ameshindwa kuwamudu?
 
Back
Top Bottom