Cardinal06
JF-Expert Member
- Jan 7, 2015
- 963
- 326
Niko huku wanakopaita mkoani (nje ya Dar) na nimeckia kilichotokea huko jijini Dar cku chache zilizopita, wengi wa viongoz wanaolizungumzia suala hili wanasema kwamba hiki kikundi HAKIPO na ni vijana wachache tu wenye lengo la kufanya uporaji. Naomba kwa wenye kufaham suala hili wanipe ufafanuz juu ya uhalisia wa tukio hili!! Je hili kundi lipo?? Mazoez au mafunzo yao wanayafanya wapi??