RedDevil
JF-Expert Member
- Apr 30, 2009
- 2,367
- 1,519
Imekaa poa hii...ila tennis yao kali zaidii.:bange:
Nimeipenda hiyo avarta yako mku Cheze, Lol! enzi hizo hutoki mtu hadi ulie! Hahahha! Kuhusu hiyo team jamani, wamejaliwa hadi unayafeel!
Imekaa poa hii...ila tennis yao kali zaidii.:bange:
Kwa nini uteme mate mkuu uwanjani hata kama kuna mahali pa kutema? Huo nao ni utovu wa nidhamu, badilika mkuu.
hata mimi bana....