The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
mwulize izi..SABABU ILIYOKUFANYA ULILIE TUACHANE UNAIKUMBUKA?
SASA ivi tupo karibu au umbali umezd?
mkimbze wewe hana lolote uyo just upo majuu ndo kashoboka afu mademu wa dzaini iyo wa KUSHOBOKA ogopa sana..
...imagne km ungekuwa matombo uko unalima mihogo then ye yupo dar ANGEKURUDIA?angetaka mrudiane?au angesisitiza UMBALI KIKWAZO KWAKE?
...MJOK TU MWAMBIE KWAN WANAENDELEAJE NA JAMAA?
UYO hakupend anazani kwako kuna AHUEN JUST BCZ UPO MAJUU...ana tamaa uyo mkimbize mbiooooooo km unakimbza mwenge kakangu!!
a
Hilo swali la msingi sana maana mara ya kwanza yeye alisema umbali ndio ishu na hapo ilikuwa ni hapa hapa bongo sasa imekuwaje sasa hivi jama yuko states demu ndio anaona anampenda huyu mwanamke wa kumkimbiza kabisa