Pana upendo hapa au ndo kuwa mshika pembe?

mwulize izi..SABABU ILIYOKUFANYA ULILIE TUACHANE UNAIKUMBUKA?
SASA ivi tupo karibu au umbali umezd
?
mkimbze wewe hana lolote uyo just upo majuu ndo kashoboka afu mademu wa dzaini iyo wa KUSHOBOKA ogopa sana..
...imagne km ungekuwa matombo uko unalima mihogo then ye yupo dar ANGEKURUDIA?angetaka mrudiane?au angesisitiza UMBALI KIKWAZO KWAKE?
...MJOK TU MWAMBIE KWAN WANAENDELEAJE NA JAMAA?
UYO hakupend anazani kwako kuna AHUEN JUST BCZ UPO MAJUU...ana tamaa uyo mkimbize mbiooooooo km unakimbza mwenge kakangu!!
a

Hilo swali la msingi sana maana mara ya kwanza yeye alisema umbali ndio ishu na hapo ilikuwa ni hapa hapa bongo sasa imekuwaje sasa hivi jama yuko states demu ndio anaona anampenda huyu mwanamke wa kumkimbiza kabisa
 
Mi sidhani wa2 wakipendaga huwa wanashaurika, mpaka yaje ya mkute ya kumkuta ndio atakumbuka ushauri anaopewa hapa lakini kwa sasa mnajisumbua 2 ukimsoma kwa makini muandika mada anampenda sana huyo ex wake
 
Hilo swali la msingi sana maana mara ya kwanza yeye alisema umbali ndio ishu na hapo ilikuwa ni hapa hapa bongo sasa imekuwaje sasa hivi jama yuko states demu ndio anaona anampenda huyu mwanamke wa kumkimbiza kabisa

we ebu nipigie afu tamka ilo lisignature lako..
linamaana gan?
 
Kama alivokuonya usimpigie sim, hayuko tayari kumkwaza ampendae, basi na wewe tumia jibu hilohilo. Naumwambie ulienae ni mkali sana atakuletea shida, hata kama hauna mtu. Yani huyo mbinafsi tena sana akita yeye apate ukitaka wewe akupe masharti.
 
Bora ulishika mapembe ulifaidi kidogo sasa unako elekea utashika kamba kabisa huyo anakupenda kwa vile upo state ataka angalau uwe unamtumia angalau usd awe anazama byulo kuchukua madafu.
 
pole sana Hunter,kitu unachoshindwa kujua ni wewe na huyo dada mlikuwa na mapenzi ya upande mmoja,ulimpenda zaidi ya yeye alivyokupenda!!!!hali hii ilikuwepo mwanzo wa uhusiano wenu,mwisho wa uhusiano wenu na ndiyo itakavyokuwa hata ukimrudia tena!!
pia huyo dada kashagundua uko sooo weak kwake,hata ukimuoa anaweza jifanyia mambo yake mwenyewe kwa kujua kuwa uko weak kwake na hutamfanya chochote!!!....Jaribu kuonyesha MSIMAMO...ulimpata demu mwingine....jaribu kumuonyesha kuwa Umempata wako wa ubani na HUTORUDI nyuma kamwe....ataacha kukusumbua!!!
all in all nadhani bado unampenda huyo dada,mnaweza endelea kuwa wapenzi...ila lazima uwe cautious!,usijaribu kufikiria kumuoa that will be a big mistake!!!!,mchezee halafu umuache....may be she will learn her lessons by then!!!!:A S 109::A S 109::A S 109::A S 109::embarrassed::embarrassed:

Hapo kwenye RED, inanishangaza Pauline ukiwa kama mdada kutoa ushauri wa namna hiyo kwa mwanamke mwenzako?
anyway, what comes around always goes around!!!!!
 
Nashukuru wote kwa ushauri mzuri, nikweli kama hapo Tanzania ilikuwa hivyo akija hapa itakuwa balaa!
Narudia kusema asanteni kwa ushauri mzuri

Kaka usipate tabu. Dawa ya mwanamke ni mwanamke. Tafuta kitu cha ukweli halafu update picha yako ya facebook umkate kidefu..:whoo:
 
.....Huyo hana lolote kadata kusikia upo states, yaani kuna baadhi ya wadada wakisikia mtu yupo nje ya nchi huwa wanachanganyikiwa kweli hadi kuacha wapenzi wao kisa kumpata mtu aliye nje ya nchi. Penzi hakuna hapo.......kama kweli alikupenda kwa nini hakukupenda kipindi upo nyumbani?
Si alisema penzi la mbali haliwezi? Kama Dar na Iringa alisema mbali, states leo imekuwa jirani?Iweje leo aseme anakupenda na wakati upo mbali zaidi tena nje ya nchi........mpotezeeeee huyo.

Yaani umemaliza kila kitu hapo Pretty. Jamaa asipochukua ushauri wako likalomkuta atajijua mwenyewe. Mademu wa Bongo bwana, yaani wakisikia mtu yuko nje ya nchi hata kama ni Zimbabwe kwenye njaa kali wanababaika sana!
 
.....Huyo hana lolote kadata kusikia upo states, yaani kuna baadhi ya wadada wakisikia mtu yupo nje ya nchi huwa wanachanganyikiwa kweli hadi kuacha wapenzi wao kisa kumpata mtu aliye nje ya nchi. Penzi hakuna hapo.......kama kweli alikupenda kwa nini hakukupenda kipindi upo nyumbani?
Si alisema penzi la mbali haliwezi? Kama Dar na Iringa alisema mbali, states leo imekuwa jirani?Iweje leo aseme anakupenda na wakati upo mbali zaidi tena nje ya nchi........mpotezeeeee huyo.

Pretty mbona umesema niliyotaka kusema wewe...,
 
Huyo siyo mtu mwema kwako,anataka umpeleke state,na akija huko atamrudia jamaa yake.
 
Hapo kwenye RED, inanishangaza Pauline ukiwa kama mdada kutoa ushauri wa namna hiyo kwa mwanamke mwenzako?
anyway, what comes around always goes around!!!!!

mnh msije mkanimeza bureee...kama mnamsoma mtoa mada,mwenzenu bado anampenda EX wake!....ndio maana nikashauri aendeleze pendo ila asifanye makosa ya kumuoa...!!!inawauma mie kusema huyo mwanamke achezewe tu....mbona haiwaumi kuona huyo mwanamke alichezea tu huyu kaka mwanzo na bado anataka amchezee tena?:embarrassed::embarrassed:
 
Wanajamvi nimekutwa na swaib moja, xgirlfriend wangu ambae tuliachana kama miaka minne nyuma kipindi hicho tukiwa ndo kwanza tumeanza tu chuo leo anadai bado ananipenda,
nakumbuka tulipomaliza A'level mimi nilipangiwa Udsm, yeye akapata Tumaini,
sasa mwanzoni tu baada ya kuingia chuoni yeye akadai hawezi mapenzi ya mbali so tutengane tuu maana hata weza kuniamini,kwakuwa hatukua na ugomvi na hapo ni baada ya kumsisitiza kuniamini kushindwa nikaridhia kwa moyo mmoja, yeye kule akaanza mahusiano na mimi kwa upande wangu nikapata dem mwingine. Tulikuwa tukiwasiliana kwa nadra sana kama marafiki lakini ikafika kipindi akanikataza nisiwasiliane nae kwani, anampenda sana mtu wake na hataki kumkwaza, wakati mwingine nikawa namfwata mkoani akiwa likizo ili japo nimwone sababu nilimpenda sana, na siku za mwanzo nilifikiri uhusiano wangu mpya ungenifariji kumbe ikawa ngumu maana bado nilimpenda yeye, lakini hakuwa tayari kurudisha moyo nyuma.
Ishu ikaja mwaka jana mwanzoni nikapata mishe iliyoniwezesha kutoka Bongo nakuja state, alichelewa kufahamu kama sipo nchini sasa majuzi kati tukakutana kwenye FaceBook, na tukawasiliana,ishu inakuja anadai ananipenda sana na yuko tayari kubrake na jamaa yake,
Kwakweli kila nikipima naona huyu ni walewale maana nini sasa kinamfanya anipende leo?
Je jamaa yake aliyenae itakuwaje? huu si ubinafsi? wandugu nishaurini.

THE HUNTER,
Achana na huyo dem hakupendi, kwani unaweza kumuwezesha kuja US, then huyo b/f wake akamuambia amekuja US kwa kaka yake au ndugu yake, then akifika huko akishafanikiwa atakutosa tena na kama vipi ukionekena kikwazo anaweza kukuua ili jamaa yake anayempenda naye aje US, au anaweza kuona mtu mwenye mafanikio zaidi huko, si unajua nchi zilizoendelea si kama TZ, so anaweza kuzuzuka!!!
KWA UFUPI HAFAI KABISA HATA KIDOGO, NI SUMU!!!
 
wanajamvi nimekutwa na swaib moja, xgirlfriend wangu ambae tuliachana kama miaka minne nyuma kipindi hicho tukiwa ndo kwanza tumeanza tu chuo leo anadai bado ananipenda,
nakumbuka tulipomaliza a'level mimi nilipangiwa udsm, yeye akapata tumaini,
sasa mwanzoni tu baada ya kuingia chuoni yeye akadai hawezi mapenzi ya mbali so tutengane tuu maana hata weza kuniamini,kwakuwa hatukua na ugomvi na hapo ni baada ya kumsisitiza kuniamini kushindwa nikaridhia kwa moyo mmoja, yeye kule akaanza mahusiano na mimi kwa upande wangu nikapata dem mwingine. Tulikuwa tukiwasiliana kwa nadra sana kama marafiki lakini ikafika kipindi akanikataza nisiwasiliane nae kwani, anampenda sana mtu wake na hataki kumkwaza, wakati mwingine nikawa namfwata mkoani akiwa likizo ili japo nimwone sababu nilimpenda sana, na siku za mwanzo nilifikiri uhusiano wangu mpya ungenifariji kumbe ikawa ngumu maana bado nilimpenda yeye, lakini hakuwa tayari kurudisha moyo nyuma.
Ishu ikaja mwaka jana mwanzoni nikapata mishe iliyoniwezesha kutoka bongo nakuja state, alichelewa kufahamu kama sipo nchini sasa majuzi kati tukakutana kwenye facebook, na tukawasiliana,ishu inakuja anadai ananipenda sana na yuko tayari kubrake na jamaa yake,
kwakweli kila nikipima naona huyu ni walewale maana nini sasa kinamfanya anipende leo?
Je jamaa yake aliyenae itakuwaje? Huu si ubinafsi? Wandugu nishaurini.
1.mtakuwa wawili kama si watatu.
2.hakupendi lakini anajua unampenda sana.
3.najua unamtayarishia ticketi aje usa. Lakini elewa baada ya muda jamaa yake nae atatia timu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom