:bump:hakuna kitu kama hicho wewe hebu acha kumshauri mwenzio pumba...............hcho ni kimeo tu hbu potezea.NAKABIDHI
Kama amesoma Tumaini University degree ya sheria achana naye kabisa! Utashika pembe wenzako tutakamua maziwa.
Kama amesoma Tumaini University degree ya sheria achana naye kabisa! Utashika pembe wenzako tutakamua maziwa.
mmh, jamani hiz conclusion zingine? yaani baba mchungaji unageneralize kirahisi hivyo?
naona wengi hapa wana mwona mwanamke kama mtu wa kudandia mafanikio ya mwanaume kwa ulaghai wa mapenzi. maisha yana ups and downs na kuna tofauti ya namna ya kubehave ukiwa na mpenzi mpya kwa mwanaume na mwanamke. hii inatokana na utamaduni wetu unaomwona mwanamke kuwa ni wa kumilikiwa na hili limechangia sexual lifestyle ya wanawake kuwa controlled na mwanaume. sasa alipokuzuia usiwasiliane naye kwa sababu ana mtu mwingine ni katika ku-avoid matatizo zaidi kwa upande wake kutoka kwako na kwa huyo mtu wake mpya. kwa kuwa nawe umekiri kuwa ulipata wako mpya, hapo sioni makosa kwake. pia sioni kuwa kwa ilo pekee hata na kwa kukuzuia usiwasiliane naye basi alikoma kukupenda kwa dhati.
imagine yeye angekuwa na kazi nzuri na akasikia umefukuzwa kazi na uko kijijini kwenu huna hata nauli ya kukuleta mjini kutafuta kazi ndiyo akakkuambia kuwa bado anakupenda na yuko tayari kumuacha aliyenaye na kuambatana na wewe licha ya hali yako hiyo ya sasa, ungereact namna gani? je na hapo ungekuwa na shaka na upendo wake kwako? nionavyo mimi, hata wewe pia unababaika na kuwa huko state (kama unavyokuita)! inaonekana kuwa kwa sababu uko state, hata mie judith hapa nikikuambia kuwa nakupenda utaona ni kwa sababu nababaika na state kumbe naweza kuwa kweli nimezama kwenye mapenzi mazito ya kweli na yenye baraka za Mungu. nakuomba sana usiufunge mlango wa mapenzi bali uache wazi ili Mungu mwenyewe awaunganishe, usije ukamkosa mke mwema kutoka kwa Mungu kwa bvile tu uko huko state, kumbuka kwa Mungu hakuna tofauti ya huko state na huku maneromango, bali kote ni sawa machoni mwake
Kwa maana hiyo mchungaji hata sisi unatushauri kuwa waliopitia katika kitengo hicho tuwaogope kama ukoma.
mmh, jamani hiz conclusion zingine? yaani baba mchungaji unageneralize kirahisi hivyo?
Kama amesoma Tumaini University degree ya sheria achana naye kabisa! Utashika pembe wenzako tutakamua maziwa.
Lakini wadada wengi wanapenda kwenda States, sio wa Tz peke yao.. Na kwa sababu hawajawa empowered and they poses no skills, tiketi pekee ya kufika huko ni 'miili' yao.
pole sana Hunter,kitu unachoshindwa kujua ni wewe na huyo dada mlikuwa na mapenzi ya upande mmoja,ulimpenda zaidi ya yeye alivyokupenda!!!!hali hii ilikuwepo mwanzo wa uhusiano wenu,mwisho wa uhusiano wenu na ndiyo itakavyokuwa hata ukimrudia tena!!
pia huyo dada kashagundua uko sooo weak kwake,hata ukimuoa anaweza jifanyia mambo yake mwenyewe kwa kujua kuwa uko weak kwake na hutamfanya chochote!!!....Jaribu kuonyesha MSIMAMO...ulimpata demu mwingine....jaribu kumuonyesha kuwa Umempata wako wa ubani na HUTORUDI nyuma kamwe....ataacha kukusumbua!!!
all in all nadhani bado unampenda huyo dada,mnaweza endelea kuwa wapenzi...ila lazima uwe cautious!,usijaribu kufikiria kumuoa that will be a big mistake!!!!,mchezee halafu umuache....may be she will learn her lessons by then!!!!:A S 109::A S 109::A S 109::A S 109::embarrassed::embarrassed:
huyo mwanamke ni mshamba amesikia huko majuu anafikiri una mahela, na ukweli ni kwamba hakupendi lakini pia kwanini umnyang'anye huyo jamaa yake sasa hiviWanajamvi nimekutwa na swaib moja, xgirlfriend wangu ambae tuliachana kama miaka minne nyuma kipindi hicho tukiwa ndo kwanza tumeanza tu chuo leo anadai bado ananipenda,
nakumbuka tulipomaliza A'level mimi nilipangiwa Udsm, yeye akapata Tumaini,
sasa mwanzoni tu baada ya kuingia chuoni yeye akadai hawezi mapenzi ya mbali so tutengane tuu maana hata weza kuniamini,kwakuwa hatukua na ugomvi na hapo ni baada ya kumsisitiza kuniamini kushindwa nikaridhia kwa moyo mmoja, yeye kule akaanza mahusiano na mimi kwa upande wangu nikapata dem mwingine. Tulikuwa tukiwasiliana kwa nadra sana kama marafiki lakini ikafika kipindi akanikataza nisiwasiliane nae kwani, anampenda sana mtu wake na hataki kumkwaza, wakati mwingine nikawa namfwata mkoani akiwa likizo ili japo nimwone sababu nilimpenda sana, na siku za mwanzo nilifikiri uhusiano wangu mpya ungenifariji kumbe ikawa ngumu maana bado nilimpenda yeye, lakini hakuwa tayari kurudisha moyo nyuma.
Ishu ikaja mwaka jana mwanzoni nikapata mishe iliyoniwezesha kutoka Bongo nakuja state, alichelewa kufahamu kama sipo nchini sasa majuzi kati tukakutana kwenye FaceBook, na tukawasiliana,ishu inakuja anadai ananipenda sana na yuko tayari kubrake na jamaa yake,
Kwakweli kila nikipima naona huyu ni walewale maana nini sasa kinamfanya anipende leo?
Je jamaa yake aliyenae itakuwaje? huu si ubinafsi? wandugu nishaurini.