Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Kaka zangu pamoja na yote tunayozungumza humu wadada kwamba hatupendi mariooo, mara kibamia hitimisho ni kwamba mdada akikupenda kwa dhati hayo yote huwa hayajali kabisa kama huna pesa utapewa na kama una kibamia (ila kinachosimama) atakwambia tu nifanye hv na vile tukae staili hii ili mradi anajua hapa ndio atafika na taratibu mbaba utazoea na mtakuta mnaridhishana kikubwa mdada akupende na wewe ujiamini
Mhhh Maty,
Leo umeamka salama mdogo wangu?