Pamoja na uamsho kufunguka panatakiwa uchunguzi zaidi

Comi

JF-Expert Member
Oct 2, 2011
3,328
955
Taasisi ya kiislam mjini zanzibar
UAMSHO wamesema kuwa hawawezi kuacha kuzungumzia siasa na sasa hivi wako mbioni kukusanya sahihi ili kuhusiana na kuvunja muungano. Bado kuna mengi yatakayosikika kuhusiana na kiini cha kuanzishwa hiki kikundi.

Swali ni je taasisi ya kidini inaruhusiwa kujihusisha na siasa? Kama hapana wanapata wapi hicho kiburi?
Source : mtanzania jumapili
 
kwa usilamu dini huwezi kuitafautisha na siasa kwa sababu ni sehemu ya maisha
UAMSHO hicho kilichoitwa kiburi wanakipata kutoka kwetu WAZANZIBAR ambao tunaiunga mkono kwa wingi mno bila kujali itikadi zetu za kisiasa..hata kama SMT wakilazimisha ifutwe UAMSHO haitaturudisha nyuma hilo kwani hao mashekh ni sehemu dongo tu ya harakati hizi ni zaidi ya kinachoonekana, na ni wimbi la SUNAMI linalouzowa na kuuvunja vunja muungano wa kinafiki wa TZ kwa maslahi ya utaifa wa zanzibar
''JAMUHURI YA WATU WA ZANZIBAR KWANZA''
 
kwa usilamu dini huwezi kuitafautisha na siasa kwa sababu ni sehemu ya maisha
UAMSHO hicho kilichoitwa kiburi wanakipata kutoka kwetu WAZANZIBAR ambao tunaiunga mkono kwa wingi mno bila kujali itikadi zetu za kisiasa..hata kama SMT wakilazimisha ifutwe UAMSHO haitaturudisha nyuma hilo kwani hao mashekh ni sehemu dongo tu ya harakati hizi ni zaidi ya kinachoonekana, na ni wimbi la SUNAMI linalouzowa na kuuvunja vunja muungano wa kinafiki wa TZ kwa maslahi ya utaifa wa zanzibar
''JAMUHURI YA WATU WA ZANZIBAR KWANZA''

Umefunguka mpaka upo wazi sasa na kila kitu kina toka na kingia ktk shimo.
 
kimsingi watu wenye madaraka wanasindwa kuelewa kitu kidogo sana kulingana na kikundi hiki cha UAMSHO.hikim kikundi kina agenda yao kuhusu muunganao wapewe fursa ya kusikilizwa ili tuweze kutatua hili tatizo kuliko wengine kuwaita majina mabaya yaliyopo katika jamii yetu.tukifumbia macho haya mabo yatakuja kuwa kama yale ya arusha ambapo tatizo lilikuwa ni mjumbe mmoja kuwa batili likahamia kwenye uchaguzi hatimaye vifo na hatimaye ubunge ni jambioi jema kufanyia kazi hili jambo mapema ili kuondoa matatizo mengine yanayoweza kuibuka huko mbeleni
 
Kuna tetesi ya kuwa Shein anakutana na viongozi wa dini, possibly UAMSHO on Monday
 
Taasisi ya kiislam mjini zanzibar
UAMSHO wamesema kuwa hawawezi kuacha kuzungumzia siasa na sasa hivi wako mbioni kukusanya sahihi ili kuhusiana na kuvunja muungano. Bado kuna mengi yatakayosikika kuhusiana na kiini cha kuanzishwa hiki kikundi.

Swali ni je taasisi ya kidini inaruhusiwa kujihusisha na siasa? Kama hapana wanapata wapi hicho kiburi?
Source : mtanzania jumapili

Zanzibar zaidi ya 98% ni Waislaam, ongea utakavyo ongea ukweli unabaki kuwa hivyo. Watakavyo wao ndivyo itakavyokuwa, kama si leo kesho, hata mfanye mbinu zipi, sana sana mtamwaga damu tu.
 
Taasisi ya kiislam mjini zanzibar
UAMSHO wamesema kuwa hawawezi kuacha kuzungumzia siasa na sasa hivi wako mbioni kukusanya sahihi ili kuhusiana na kuvunja muungano. Bado kuna mengi yatakayosikika kuhusiana na kiini cha kuanzishwa hiki kikundi.

Swali ni je taasisi ya kidini inaruhusiwa kujihusisha na siasa? Kama hapana wanapata wapi hicho kiburi?
Source : mtanzania jumapili

hivi hawa wapuuzi bado wapo?
 
Zanzibar zaidi ya 98% ni Waislaam, ongea utakavyo ongea ukweli unabaki kuwa hivyo. Watakavyo wao ndivyo itakavyokuwa, kama si leo kesho, hata mfanye mbinu zipi, sana sana mtamwaga damu tu.
Savage mediaval thinking..kwa hiyo sisi asilimia 2 ndio tuende wapi? au ndo mtulipishe jizya?
 
Taasisi ya kiislam mjini zanzibar
UAMSHO wamesema kuwa hawawezi kuacha kuzungumzia siasa na sasa hivi wako mbioni kukusanya sahihi ili kuhusiana na kuvunja muungano. Bado kuna mengi yatakayosikika kuhusiana na kiini cha kuanzishwa hiki kikundi.

Swali ni je taasisi ya kidini inaruhusiwa kujihusisha na siasa? Kama hapana wanapata wapi hicho kiburi?
Source : mtanzania jumapili

View attachment 56602

Wee unakurupuka tuuu, ivo huijui Z'bar kuwa uislam ndio Dira maisha yao, hata ukisikia kuna CUF/CCM bado uislam una nafac kubwa ktk maisha yao ya kila cku, sasa ikiwa uislam ndio mfumo mzima wa maisha, sasa Mzanzibari utamwambia nini kuhusu Taasisis ya Uamsho, uislam na Mashekh wao ? Taasisi ambayo angalau imethubutu kuzungumza waziwazi juu ya kuukataa muungano ambao takriban zaid ya 85% ya Wazanzibari wanaukataa ukitoa wale baadhi ya viongozi wa SMZ (CCM na CUF).

Wazenji kipindi kirefu walikuwa wakitegemea CUF/CCM ili wawatatulie matatizo yao hususan hili la muungano lakni sio CCM/CUF kila mmoja maslahi binafsi, ndio hapo Wazenji wakaitaka Taasisis ya MUAMSHO kuwasimamia ktk kuitafuta Zanzibar yao ilio huru.

Sasa kama ni kiburi kama alivosema huyo mwandishi kuonesha kuchukizwa na harakat hizo basi UAMSHO wamekipata kutoka kwa wanachi wa Zanzibar na sio pahala wala watu wengine kama tunavyodhani huku Tanganyika.
 
Back
Top Bottom