Comi
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 3,328
- 955
Taasisi ya kiislam mjini zanzibar
UAMSHO wamesema kuwa hawawezi kuacha kuzungumzia siasa na sasa hivi wako mbioni kukusanya sahihi ili kuhusiana na kuvunja muungano. Bado kuna mengi yatakayosikika kuhusiana na kiini cha kuanzishwa hiki kikundi.
Swali ni je taasisi ya kidini inaruhusiwa kujihusisha na siasa? Kama hapana wanapata wapi hicho kiburi?
Source : mtanzania jumapili
UAMSHO wamesema kuwa hawawezi kuacha kuzungumzia siasa na sasa hivi wako mbioni kukusanya sahihi ili kuhusiana na kuvunja muungano. Bado kuna mengi yatakayosikika kuhusiana na kiini cha kuanzishwa hiki kikundi.
Swali ni je taasisi ya kidini inaruhusiwa kujihusisha na siasa? Kama hapana wanapata wapi hicho kiburi?
Source : mtanzania jumapili