Pamoja na Tanzania kutaka wasimame, Malawi kuendelea na utafiti wa mafuta na gas Ziwa Nyasa

Reuters ni wale wale waliomua Ghadafi majizi makubwa yanataka tupigane yauze silaha...stupid...Malawi tukiamua tunawapiga hata sekunde haifiki ila hatutaki...

Hivi unazijua gharama za kuingia vitani au umetawaliwa na jazba tu..
 
Ungenyamaza kama hujui medani za kivita na uwezo wa nchi yetu kijeshi. Halafu vita haishindwi kwa silaha tu peke yake. Waambie warushe mkuki waone kitakachowapata. Upana wa Lake Nyasa ni km 52 hii ni kazi ya makombora ya masafa mafupi. Tunajua Malawi imekuwa ikijiandaa na vita against Watz kwa muda sasa. Na wanadhani sasa wanaweza, wamekuwa kidume. Watajaribu tu lazima, mtaona.
 
Ni lini Malawi imewahi kudai hata sentimeta moja ya eneo la nchi kavu la Tanzania ambako ndege zinaweza kutua?

Kuna ndege zinatuwa kwenye maji, na eneo la Tanzania si la nchi kavu pekee, rekebisha kauli yako. Maji yawepo kilomita kadhaa kwenye ufuko wa Tanzania halafu uwaambie Watanzania siyo maji yenu, unaakili sawa wewe?
 
Mi napenda waachwe waandelee na utafiti wao ili kutupunguzia gharama za utafiti kwa upande wetu, kimbembe ni pale gas/mafuta yamepatikana tena upande wa Tanzania! Hapo ndo tunalianzisha. Naomba viongozi watulie tu jamaa watutafunie.
 
mi napenda waachwe waandelee na utafiti wao ili kutupunguzia gharama za utafiti kwa upande wetu, kimbembe ni pale gas/mafuta yamepatikana tena upande wa tanzania! Hapo ndo tunalianzisha. Naomba viongozi watulie tu jamaa watutafunie.
kweli kabisa
 
Reuters ni wale wale waliomua Ghadafi majizi makubwa yanataka tupigane yauze silaha...stupid...Malawi tukiamua tunawapiga hata sekunde haifiki ila hatutaki...
Reuters ni shirika la habari si jeshi. Ghadafi aliuwa na wajukuu zake wa Libya waliochoka kumuona sura yake miaka nenda rudi. Kabla ya kuuawa alikuwa amewaua maelfu ya wananchi wake walioandamana kumtaka aondoke madarakani kwa amani. Hata bila nchi za magharibi kuwepo kwa maovu ya Ghadafi wananchi wake mwenyewe wangemgawana endapo wangepata nafasi kama walivopata nafasi wakati wa vita alivosababisha yeye mwenyewe Ghadafi. Binadamu si mbwa ambaye anaridhika kupewa mfupa na tajiri yake hivo. Viongozi kama Ghadafi wanaofikiri wanadamu ni kama mbwa tu ambao hata ukiwanyima uhuru kwa kuwafungia ndani na kuwafungulia unapotaka hawafai hata kama wanagawa mifupa na minofu.
 
Reuters ni shirika la habari si jeshi. Ghadafi aliuwa na wajukuu zake wa Libya waliochoka kumuona sura yake miaka nenda rudi. Kabla ya kuuawa alikuwa amewaua maelfu ya wananchi wake walioandamana kumtaka aondoke madarakani kwa amani. Hata bila nchi za magharibi kuwepo kwa maovu ya Ghadafi wananchi wake mwenyewe wangemgawana endapo wangepata nafasi kama walivopata nafasi wakati wa vita alivosababisha yeye mwenyewe Ghadafi. Binadamu si mbwa ambaye anaridhika kupewa mfupa na tajiri yake hivo. Viongozi kama Ghadafi wanaofikiri wanadamu ni kama mbwa tu ambao hata ukiwanyima uhuru kwa kuwafungia ndani na kuwafungulia unapotaka hawafai hata kama wanagawa mifupa na minofu.

Uelewa wako kwa masuala ya Dunia ni mdogo sana..ndio maana hujui nafasi ya Media kwenye vita yeyote ile na hiyo ni sababu unashindwa kuelewa Reuters na M16 wanafanya kazi kwa pamoja...
 
Kuna ndege zinatuwa kwenye maji, na eneo la Tanzania si la nchi kavu pekee, rekebisha kauli yako. Maji yawepo kilomita kadhaa kwenye ufuko wa Tanzania halafu uwaambie Watanzania siyo maji yenu, unaakili sawa wewe?

Kama zilitua kwenye maji basi kesi imekwisha maana anayekataa authibitishie ulimwengu kwamba ni lini maji yalikuwa miliki yake.
 
Mwalimu alimwambia Banda kama analitaka ziwa lote basi ahakikishe kuwa hakuna hata tone moja la maji linalogusa ardhi ya Tanganyika....:hat:
 
Hawa jamaa wana kiburi sana.... huku wakiuma na kupuliza. Hebu cheki..

[h=1]Malawi says no war with Tanzania, JB briefs opposition leaders[/h]Despite warmongering of Tanzania over a border dispute involving Lake Malawi now poised to become a new oil and gas frontier, Malawi President Mrs Joyce Banda says her country will not “go to war” but would engage in peaceful dialogue.

President Banda called for a meeting with Malawi opposition leaders on Wednesday in Lilongwe before her departure to Mozambique for the 32nd Summit of Heads of State and Government where she is expected to hold talks with Tanzania President Jakaya Kikwete.

Banda met Leader of Opposition and MCP president John Tembo, UDF leaders Friday Jumbe and Geroge Nga Ntafu, DPP secretary general Wakuda Kamanga, PPM president Mark Katsonga Phiri, veteran politicians Gwanda Chakuamba and Kamlepo Kalua at the New State House in Lilongwe to brief them on her government “dialogue” position.
The Malawi leader has also briefed the faith community and media managers on the border issue.

“Even if the diplomatic route fails, it does not necessarily mean we will go to war with our brothers and sisters in Tanzania,” President Banda has said.

“ We can resort to other channels to solve the matter,” Banda told reporters in her first public reaction to the issue.

Banda insists Malawi will pursue any peaceful means and would opt for legal redress from the International Court of Justice if the two countries will have a deadlock on the matter during the August 20 meeting to be held in Mzuzu.

“Much as it is a well-known fact that the lake belongs to Malawi, we will engage our Tanzanian counterparts and resolve our differences diplomatically and amicably,” Banda, who served as Foreign Affairs Minister in late Bingu wa Mutharika cabinet, said.




Sourse:
Nyasa Times
August 15, 2012
 
Uelewa wako kwa masuala ya Dunia ni mdogo sana..ndio maana hujui nafasi ya Media kwenye vita yeyote ile na hiyo ni sababu unashindwa kuelewa Reuters na M16 wanafanya kazi kwa pamoja...
Wala usifikirie uelwa wangu ni mdogo. Naelewa kila kitu. Ukisoma nililchoandika ungajua kwanini sikubaliani na wewe. Ili unielewe ni kuwa simply Ghadafi aliuawa na wananchi wa Libya wala si nchi za magharibi. Aliuawa kwa maovu kwa maovu aliyowatendea walibya. Kuwaua, kuwanyima uhuru,kujigeuza Mungu mtu badala ya kuwa kiongozi. Alichofanyiwa Ghadafi hawezi kufanyiwa Obama, Blair au Bush na wananchi wake. Kiongozi anatofautiana kimtazamo na wananchi wengi walio mrengo tofauti wa kisiasa lakini uhuru na haki ya mtu anaiheshimu na hawezi kuikiuka.
Kwa hiyo kabla hujalaumu nchi za Magharibi uelewe makosa ya Ghadafi ni yapi mpaka wananchi wake kumuua kinyama kiasi hicho.
Kama wewe kuishi kama mbwa anayetupiwa mfupa na mmiliki huku akiamua kila hatima ya maisha yako ni kuzuru Ghadafi anakufaa na utaendelea kumlilia. Kwangu mimi na wananchi wengi wa Libya waliomuua ili wawe huru uhuru na njaa ni bora kuliko chakula na viboko.
 
Back
Top Bottom