Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Wandugu,
Ni swali la kizushi tu. Katika mawaziri waliopwaya wakiwa ujenzi ni Dr. Kawambwa. Ilikuwa kama wizara haina waziri. Ni kama alipokuwa wizara ya maji. Lakini nyakati zote hizo hatujawahi kusikia kikwete akiikemea wizara kwa kufanya mambo hovyo. Leo hii wameingia mawaziri wachapa kazi tunaona jamaa amechachamaa. Inakuwaje hapa? Au ndiyo kumalizana kwenyewe ionekane pombe imeshindwa kazi yake?
Ni swali la kizushi tu. Katika mawaziri waliopwaya wakiwa ujenzi ni Dr. Kawambwa. Ilikuwa kama wizara haina waziri. Ni kama alipokuwa wizara ya maji. Lakini nyakati zote hizo hatujawahi kusikia kikwete akiikemea wizara kwa kufanya mambo hovyo. Leo hii wameingia mawaziri wachapa kazi tunaona jamaa amechachamaa. Inakuwaje hapa? Au ndiyo kumalizana kwenyewe ionekane pombe imeshindwa kazi yake?