Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
Ritz1, Rejao, Mzee, Mwita25/Bundajo (siku hizi amebadilika kiajabu-ajabu), watu hawa kwa mtazamo wangu wameamua kwa makusudi tu kuwa kinyume na hoja ili tu kuumiza vichwa vya watu kwa makusudi lakini ukweli wanaujua ila wanatoa changamoto tu, hakika wanachangamsha jamvi, kama si kwa comments zao basi ni kwa namna watakavyojibiwa. Kwa kifupi wanajitambua na wana upeo mkubwa.
Najua mtajiuliza kwa vipi nimemuacha FF na MS kwenye kundi hili, kwangu mimi 'dada' huyu na Malaria Sugu ni watu wanaongea wanachokiamini na walicho kidhamiria na ni ma conservative wanaodhani wanakijua sana wanachokipinga lakini hawajui kuwa hawajui wanachokisimamia na kukiwakilisha (mnisamehe sina nia mbaya ni uchambuzi tu), hivyo siwaweki kundi moja na wenzao, lakini nao wana umuhimu wao katika kuchokoza hisia za watu humu ndani.
Najua mtajiuliza kwa vipi nimemuacha FF na MS kwenye kundi hili, kwangu mimi 'dada' huyu na Malaria Sugu ni watu wanaongea wanachokiamini na walicho kidhamiria na ni ma conservative wanaodhani wanakijua sana wanachokipinga lakini hawajui kuwa hawajui wanachokisimamia na kukiwakilisha (mnisamehe sina nia mbaya ni uchambuzi tu), hivyo siwaweki kundi moja na wenzao, lakini nao wana umuhimu wao katika kuchokoza hisia za watu humu ndani.