Lyimo
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,826
- 2,017
Katika tamko la CCM juu ya kifo cha mwandishi wa habari Daudi Mwangosi, kuna kifungu cha maneno kinachoeleza:
Vyama vya siasa na wanasiasa nchini wametakiwa kujenga utamaduni wa kuheshimu Utawala wa sheria ili kuendelea kuilinda amani na utulivu uliopo nchini uliojengwa kwa muda mrefu kutokana na misingi imara iliyoachwa na waasisi wa Taifa letu.
Imetolewa na;
Nape Moses Nnauye Chama Cha Mapinduzi Katibu wa NEC-Itikadi na Uenezi Taifa.
Maswali tunayojiuliza?
1. Inamaana wameshindwa kubaini wahusika wa tukio hili zima wakati wao ndiyo wenye SERIKALI ama wanajaribu kupotezea?
2. Wao kama chama cha siasa, lini wamefata utamaduni wa UTAWALA WA SHERIA ikiwa siku hiyo wao walifanya kikao cha hadhara huku CDM wakitaka kufanya kikao cha ndani ambacho waliruhusiwa?
3. Kwanini wasiwalaani POLISI ama wao ndiyo waliwatuma wafanye hivyo?
4. Kwanini wanatoa majibu ambayo serikali yao inadai imeunda TUME ya kuchunguza tukio hili?
View attachment 64042
View attachment 64045
Vyama vya siasa na wanasiasa nchini wametakiwa kujenga utamaduni wa kuheshimu Utawala wa sheria ili kuendelea kuilinda amani na utulivu uliopo nchini uliojengwa kwa muda mrefu kutokana na misingi imara iliyoachwa na waasisi wa Taifa letu.
Imetolewa na;
Nape Moses Nnauye Chama Cha Mapinduzi Katibu wa NEC-Itikadi na Uenezi Taifa.
Maswali tunayojiuliza?
1. Inamaana wameshindwa kubaini wahusika wa tukio hili zima wakati wao ndiyo wenye SERIKALI ama wanajaribu kupotezea?
2. Wao kama chama cha siasa, lini wamefata utamaduni wa UTAWALA WA SHERIA ikiwa siku hiyo wao walifanya kikao cha hadhara huku CDM wakitaka kufanya kikao cha ndani ambacho waliruhusiwa?
3. Kwanini wasiwalaani POLISI ama wao ndiyo waliwatuma wafanye hivyo?
4. Kwanini wanatoa majibu ambayo serikali yao inadai imeunda TUME ya kuchunguza tukio hili?
View attachment 64042
View attachment 64045