Pale miujiza pekee inaposubiriwa shahidi muhimu apone ili muuaji apatikane...!



Mnamo April, 1998, Mamlaka inayohusika na kulipa fidia kwa watu waliaoathiriwa na uhalifu (Criminal Injuries Compensation Authority) ilimtunukia Josie kiasi cha dola 30,000 kwa kumpoteza mama yake, dola 8,000 kwa majonzi aliyoyapata na dola 3,500 kwa mwaka kwa kukosa malezi ya mzazi wake. Hata hivyo kulikuwa na kelele nyingi kutoka kwa wananchi, bunge la nchi hiyo pamoja na vyombo vya habari kuhusiana na fidia hiyo. Waziri mmoja wa wakati huo Jack Straw alikiri kuhusu udhaifu huo wa sheria, na alisikitika kwamba hana mamlaka ya kuingilia juu ya maamuzi hayo. Lakini alimtaka baba wa mtoto Josie, Dr. Shaun Russell kukata rufaa kwa niaba ya binti yake.

Wakili wa Josie, Sarah Harman alisema watakata rufaa.

Hii ni sehemu ya msingi sana katika mifumo ya nchi za wenzetu, ambapo kwa kiasi fulani kuna kujali UTU.....

Sawa japo fedha haiwezi kurudisha uhai wa mtu ila ina nafasi katika kujenga namna ya kuonyesha kuwa "Tupo pamoja"

Naona michango mingi hapa haijagusia hilo...... Hivyo ndio mfumo wetu ulivyotufanya.... umetuaminisha kuwa "Hatuwezi , Hatuna Uwezo".....

Kitu kinachoitwa fidia katika jamii yetu kimegeuzwa maana na kuwekewa mizengwe ya hali ya juu hadi kufikia kuwa si kitu cha kufikirika katika haki za raia ......

Tuna watu wanakufa na kupoteza uwezo wao wa utendaji kwa uzembe wa serikali na idara zake na wala hamna hicho kitu kinachoitwa fidia.....
Watu wanauwawa mikononi mwa polisi wala hamna hicho kitu kinachoitwa fidia......
Watu wanapata ajali na kupoteza wapendwa wao na wala utaratibu uliowazi wa fidia juu ya walichopoteza.....

Kuna aina ya jamii ya ajabu sana inayotengenezwa hapa, w
atu wenye visasi na chuki na matabaka ya hali ya juu......
 
Hii ni sehemu ya msingi sana katika mifumo ya nchi za wenzetu, ambapo kwa kiasi fulani kuna kujali UTU.....

Sawa japo fedha haiwezi kurudisha uhai wa mtu ila ina nafasi katika kujenga namna ya kuonyesha kuwa "Tupo pamoja"

Naona michango mingi hapa haijagusia hilo...... Hivyo ndio mfumo wetu ulivyotufanya.... umetuaminisha kuwa "Hatuwezi , Hatuna Uwezo".....

Kitu kinachoitwa fidia katika jamii yetu kimegeuzwa maana na kuwekewa mizengwe ya hali ya juu hadi kufikia kuwa si kitu cha kufikirika katika haki za raia ......

Tuna watu wanakufa na kupoteza uwezo wao wa utendaji kwa uzembe wa serikali na idara zake na wala hamna hicho kitu kinachoitwa fidia.....
Watu wanauwawa mikononi mwa polisi wala hamna hicho kitu kinachoitwa fidia......
Watu wanapata ajali na kupoteza wapendwa wao na wala utaratibu uliowazi wa fidia juu ya walichopoteza.....

Kuna aina ya jamii ya ajabu sana inayotengenezwa hapa, w
atu wenye visasi na chuki na matabaka ya hali ya juu......

Nakubaliana na wewe mkuu...Nadhani ni vyema hili likajadiliwa kwenye katiba mpya....
 
Asante sana mkuu Mtambuzi

Nimefurahishwa mambo yafuatayo MKUU:
1. namna identification parade ilivyofanyika kwa busara ya hali ya juu na afisa mpelelezi wa kesi bila ya kumuathiri Josie. In some cases in our country ID parade huwa ni kituko tu kwani walalamikaji/watambuzi wanaotakiwa kuwatambua wahalifu huonyeshwa na maofisa kabla parade yenyewe. Yaani zoezi lenyewe hugeuka kuwa kama formality tu kwani maofisa huwa wamekwishaharibu uhalisia wake.

2. utaratibu wa kutambua crime prone and non- crime prone areas na kuchukua hatua stahiki kwa kila eneo (kuendelea kuyapa uzito wa kutosha maeneo yasiyo na matukio ya kiuhalifu)

3. Namna ya kumlinda na kumtunza shahidi muhimu ni suala lingine lililonifurahisha na hasa afisa mpelelezi alivyozingatia afya ya Josie na umuhimu wake katika kuwatambua wahalifu wa mauaji ya mama na dada yake. Hapa kwetu, achilia mbali shahidi kuumwa, hata akiwa mzima mara nyingi na tena imekuwa ni mazoea kwa maaskari wetu kuwataja mashahidi kwa watuhumiwa. Inanikumbusha ingawa hapa hakuwa shahidi bali mtuhumiwa; Yule askari anayedaiwa kumuua Mwangosi kule Nyololo alivyopelekwa mahakamani chini ya usimamizi mkubwa wa maaskari (Hapa huyu anaonekana kuwa mtuhumiwa muhimu na wala si kama inavyotakiwa kuwa kwa shahidi muhhimu)

4. Bado naendelea kusisitiza kama ipo nia njema, jeshi la polisi na hasa kitengo cha upelelezi kihakikishe kuwa linatumia njia za kisasa yaani za kiteknolojia zaidi kuhakikisha kuwa kesi zetu nyingi zenye utata zinachukua muda mfupi.

The Listener - Ex Detective​
 
Asante sana mkuu Mtambuzi

Nimefurahishwa mambo yafuatayo MKUU:
1. namna identification parade ilivyofanyika kwa busara ya hali ya juu na afisa mpelelezi wa kesi bila ya kumuathiri Josie. In some cases in our country ID parade huwa ni kituko tu kwani walalamikaji/watambuzi wanaotakiwa kuwatambua wahalifu huonyeshwa na maofisa kabla parade yenyewe. Yaani zoezi lenyewe hugeuka kuwa kama formality tu kwani maofisa huwa wamekwishaharibu uhalisia wake.

2. utaratibu wa kutambua crime prone and non- crime prone areas na kuchukua hatua stahiki kwa kila eneo (kuendelea kuyapa uzito wa kutosha maeneo yasiyo na matukio ya kiuhalifu)

3. Namna ya kumlinda na kumtunza shahidi muhimu ni suala lingine lililonifurahisha na hasa afisa mpelelezi alivyozingatia afya ya Josie na umuhimu wake katika kuwatambua wahalifu wa mauaji ya mama na dada yake. Hapa kwetu, achilia mbali shahidi kuumwa, hata akiwa mzima mara nyingi na tena imekuwa ni mazoea kwa maaskari wetu kuwataja mashahidi kwa watuhumiwa. Inanikumbusha ingawa hapa hakuwa shahidi bali mtuhumiwa; Yule askari anayedaiwa kumuua Mwangosi kule Nyololo alivyopelekwa mahakamani chini ya usimamizi mkubwa wa maaskari (Hapa huyu anaonekana kuwa mtuhumiwa muhimu na wala si kama inavyotakiwa kuwa kwa shahidi muhhimu)

4. Bado naendelea kusisitiza kama ipo nia njema, jeshi la polisi na hasa kitengo cha upelelezi kihakikishe kuwa linatumia njia za kisasa yaani za kiteknolojia zaidi kuhakikisha kuwa kesi zetu nyingi zenye utata zinachukua muda mfupi.

The Listener - Ex Detective​

Nilikuwa sijakusoma siku nyingi mkuu... Je upo?
Nafurahishwa pale unapotoa uzoefu wako katika post hizi za uhalifu na adhabu zake, kuna mengi ya kujifunza maana angalau kwa uzoefu wako tunapata upande wa piliiwa jeshi letu la Polisi na utendaji wake..... Keep it up!
 
Nikka (permit me please to use this word with all respect) I appreaceate your effort to transalate/copy or whatever you do to deliver these cases in a very detailed way to us in our mother tongue. I am sure you earn none but the fact that we read this and learn some makes you going on...big up big bro... We've seen your effort nikka! Peace
 
uzuri wenzetu hawababaishi kwenye upelelezi wako makini kwa kila hatua. Sijui polisi wetu lini wataanza kufanya kazi kwa misingi ya taluuma yao na sio kwa matakwa ya watu binafsi.!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom