sikiolakufa
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 411
- 54
Nimeshangaa sana eti msafara wa makamu unakimbia 80kph pale korogwe kwenda mombo...ile terrain is extremely dangerous hata ukiwa unaenda 60kph hivi hawa viongozi wetu hofu ya nini mpaka kukimbia kiasi hicho?