PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,720
Oooh...!
"Hongera Pakajimmy...Umekaza msuli mwaya"
"Unatumia Internet ya Ofisi au ya kwako binafsi...?"
"Maana kila tulogi-in na wewe upo tu..."
Hizo ndo Hongera na maswali mengine kadha ambayo
naendelea kuyajibu muda huu wote kwa njia ya PM!
Ngoja niwashirikishe wanajamvi wote,...ni kwamba
NIMEFIKISHA POSTS 1000 SASA HIVI!...Nipongezeni bana!
"Hongera Pakajimmy...Umekaza msuli mwaya"
"Unatumia Internet ya Ofisi au ya kwako binafsi...?"
"Maana kila tulogi-in na wewe upo tu..."
Hizo ndo Hongera na maswali mengine kadha ambayo
naendelea kuyajibu muda huu wote kwa njia ya PM!
Ngoja niwashirikishe wanajamvi wote,...ni kwamba
NIMEFIKISHA POSTS 1000 SASA HIVI!...Nipongezeni bana!