Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,316
- 33,112
Mnasemaje kuhusu Paka wangu anafanya vitu vyake kama Binadamu ehhhhhhhhhhhhh
Last edited by a moderator:
Unachofikiria nini na nimekwambia Paka wangu huyo nimemfundisha jinsi ya kutumia Toilet hujashangaa kuona meli inaelea baharini shilingi inazama baharini!!!!!!!!!!!!! hujajuwa kila kitu siku hizi wewe tafuta Youtube au Google Search engine utapata??????? Upo Bibie mpendwa????????????????????Duh unakazi yaani unaenda youtube kusearch hii kitu mhh inabidinifikirie mara 2