zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,831
- 8,620
ha ha ha ha Kwani mamzalendo yukoje?
neno kubwa sana hilo, mzalendo hachangamani na mafisadi.
ha ha ha ha Kwani mamzalendo yukoje?
This is a busness opportunity given to you. Katafute quality vidoe camera, uchukue ma event kibao ya hao paka na huyo panya, fanya uchunguzi ujue ni kwanini iko hivyo ukauze kwenye TV za mbele huko. Huwezi jua bana, unaeza kupata viilaki kibao mkuu.
hata mi nahisi naangalia hadi nione mwishoHahah...anakalea bana kanonenone...! tokea lini ukaona mtu anakula kifaranga!??lol
ha ha ha inawezekana kweli!!Aaa mama, hawa paka hawana sababu ya kumla huyo panya; kwanza ni kichanga hajui kitu-watapata dhambi tu kumla. Pili paka wameshiba hao, ukiwasahau ndani siku mbili bila chakula utakuta wamemla halafu wanalia kuomboleza!!! te teh!
umenipa wazo zuri sana mkuu na hivi hali ya maisha na uchumi ngumuThis is a busness opportunity given to you. Katafute quality vidoe camera, uchukue ma event kibao ya hao paka na huyo panya, fanya uchunguzi ujue ni kwanini iko hivyo ukauze kwenye TV za mbele huko. Huwezi jua bana, unaeza kupata viilaki kibao mkuu.
inawezekana halafu sisi tuliingia kichwa kichwa kumbe ni fumbo, mtu mwenyewe alotuma ni mamamzalendo.
umeonaje picha?ila nimefurahi kwa sababu hili tukio linafundisha!ingawa wakati wa kupost sikuwa na haya mawazo,sio wote tunaowaona marafiki katika maisha wanatutakia mema wengne kunawachosubiria wakipata wanatumaliza,ila ni mfano mzuri wa serikali wanatunganya na barabara zisizoisha kumbe wanajua pesa wanazotumia tutarudisha vp?kuna mengi ya kujifunza embu tuchangie pamoja tujuzane mfano huu unafundisha niniOooo,mkuu watu wana ujuz wa lugha,ngoja niangalie picha
Mh!kapo hai na kamekaa siku ngapi,ina maana mama paka anakanyonyesha?manake vinginevyo kangekufa kwa njaa kali!Juzi kaka anayetusaidia kazi alikamata panya watatu mmoja mkubwa, wawili wadogo lakini mkubwa na mdogo mmoja akawaua akampa paka wangu ambaye naye amezaa watoto watatu akawala wale waliokufa. akamtupia paka wangu katoto kamoja ka panya kaliko hai huwezi amini alikachukua hadi kwenye box walipo watoto wake mpaka leo kale kapanya kapo hai na kanalala na hao watoto wa nyau na mama nyau yupo! hapa nyumbani tumekumbwa na mshangao hivi kuna mtu alishaona hili? na je huyu paka ana akili timamu?
Mh!kapo hai na kamekaa siku ngapi,ina maana mama paka anakanyonyesha?manake vinginevyo kangekufa kwa njaa kali!
Msikaue,subirini kuingia katika kitabu cha maajabu duniani(GUINNESS),"wana-paka waishi na mwana-panya na kuishi kama marafiki".hii siku ya tatu ndugu yangu kuhusu anakula nini kwa kweli sijui lakini mama paka yupo friendly sana kwa hiko kipanya, ila tunawapaga nyau chakula usiku labda anakula kama sivyo basi sijui ila hapa nyumbani kuna mjadala tukaue au takaache hako kapanya tuone mwisho wake embu tupe mawazo, kukiua ni kwa sababu kakiendelea kukua na watoto wanyau wakiwa wakubwa hawatajua panya ni adui na kukiacha ni kwa ajili ya kuona mwisho tu. embu tupeni mawazo wakuu
Msikaue,subirini kuingia katika kitabu cha maajabu duniani(GUINNESS),"wana-paka waishi na mwana-panya na kuishi kama marafiki".