sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Hehehe! Mawili yangu, mawili ya mgonjwa, vipapatio vyote vyako lol..hapo nilikuwa kwenye la saba,sasa hivi hata nikipika siwezi kuonja.Usijali nimechinja kuku wawili,mapaja manne.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hehehe! Mawili yangu, mawili ya mgonjwa, vipapatio vyote vyako lol..hapo nilikuwa kwenye la saba,sasa hivi hata nikipika siwezi kuonja.Usijali nimechinja kuku wawili,mapaja manne.
Hehehe! Mawili yangu, mawili ya mgonjwa, vipapatio vyote vyako lol..
mpaka sasa hivi kuna baadhi ya sehemu kama kuna sherehe flani flani wanaume wanapewa mwanzo wanawake mnaambiwa wasubiri wanaume kumaliza kula vitavyobakia ndio mwala nyie.........
hahaha hapo umenena ni kweli kabisa,hata kama kiporo cha wali kimebaki wengine kesho yake mtakula ugali na baba atapashiwa.Aisee i hated that life
Mbaya sana. Sasa usije ukawalea watoto wako hivyo Kaby. . .
Alafu hii mada ngoja niombe ihamishiwe MMU. . . Inahusu sana.
LAT kisa cha kunishtukiza hivyo jamani?
Hujaona pale "this post have been deleted by Lizzy" ??
Niliweka picha zikawa zinazingua nikafuta. Kama unataka nikuwekee maelezo tu niambie maana yapo tayari alafu picha ntaangalia namna hata baadae.
Kwa wale ambao maisha yao ya utoto hayakutofautiana na yangu watapata picha halisi.
Nilizaliwa kwenye familia yenye kipato cha chini na kula kuku mpaka xmax.Na kuku akipikwa utamsikia mama 'hilo paja ni la baba' kwa hiyo sisi tunakula vipande vingine.
Hii tabia imeendelea kujijenga kichwani mwangu kiasi kwamba na utu uzima wangu kula paja kwangu ni mwiko, hata nikila na mtu nitakula vipande vingine nikwepe paja.
Hili ni tatizo ama?
Ni paja tu au paja lingine linakutisha?
unajua hili limewafanya hata watoto ambao walikuwa wanaona baba yao anampiga mama utashangaa nao wakioa wanaendeleza tabia hiyo kwa kweli mbayaaa
watu wana vichwa vigumu hawajui kujifunza lipi la kuchukua lipi la kuacha
Mama Ngina alikuwa na hako katabia kakuniwekea Paja la kuku na Firigisi yake, nikaikemea tabia hiyo mpaka akaacha kabisa..................Ukweli ni kwamba wengi malezi yametuathiri sana. kama ukijifunza Utambuzi, utaondokana na maisha ya mazoea...............Mimi nilishaondoka katika maisha hayo siku nyingi.
imenikumbusha niliadithiwa na mama walikuwa hawali kidari ni cha baba na chakula kikipikwa na nyama hakuna kula nyama mpaka baba aanze kupewa kwanza kama amechelewa kutoka kilabuni basi watakula chakula bila nyama...........chai ya maziwa ya baba lile jeusi la watoto daaaahh ilikuwa zaidi ya unyanyasaji
Watajuaje lipi la kuchukua na lipi la kuacha wakati wanaowategemea ndivyo walivyowafundisha?
Kwa wale ambao maisha yao ya utoto hayakutofautiana na yangu watapata picha halisi.
Nilizaliwa kwenye familia yenye kipato cha chini na kula kuku mpaka xmax.Na kuku akipikwa utamsikia mama 'hilo paja ni la baba' kwa hiyo sisi tunakula vipande vingine.
Hii tabia imeendelea kujijenga kichwani mwangu kiasi kwamba na utu uzima wangu kula paja kwangu ni mwiko, hata nikila na mtu nitakula vipande vingine nikwepe paja.
Hili ni tatizo ama?
Atajuaje ni baya kama mzazi wake alikua anapigwa na kuvumilia? Mtu anajifunza kwamba hiyo ndio namna ya kuishi. Ndio maana bado wapo wanaume wanaosema wanawake wanahitaji kuadabishwa sometimes, kwamba bila kipigo kama ni kosa wamefanya watarudia. Hii inatokana na kukulia kwenye mazingira ambayo kipigo ndicho kilichokua solution. Kama ambavyo mtu anaweza akakua na hii mentality ya "paja ni la kuku, baba kwanza" n.khapana lizzy napingana na wewe!Hivi ukiona mtu anafanya jambo baya ni lazima kuiga?hata kama ni mlezi wako?ndio maana tumetofautiana na viumbe wengine.tumepewa ufahamu!