Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,158
- Thread starter
- #21
Lol.. Jitahidi na paja uwe unakula huko huko jikoni mwisho utazoea... Ila usianze leo manake mgeni atakosa!
hapo nilikuwa kwenye la saba,sasa hivi hata nikipika siwezi kuonja.Usijali nimechinja kuku wawili,mapaja manne.