Paja la kuku

Lol.. Jitahidi na paja uwe unakula huko huko jikoni mwisho utazoea... Ila usianze leo manake mgeni atakosa!

hapo nilikuwa kwenye la saba,sasa hivi hata nikipika siwezi kuonja.Usijali nimechinja kuku wawili,mapaja manne.
 
Zamani ilikuwa hivyo katika baadhi ya familia zetu ,mara ooh firigisi ni la wanaume ..
lakini sasa watoto wetu ndio tunawapa first priority ..
 
basi wewe ni wale wa familia A.

Hahahahaha. . . Wala.
Sema tu watoto tulipewa kipaumbele, kama ambavyo inatakiwa. Sio baba zima linakunywa maziwa na mayai pembeni wakati watoto wana mwaka hawajaonja hata chai ya maziwa. Ni ubinafsi wa ajabu sana.
 
Hahahahaha. . . Wala.
Sema tu watoto tulipewa kipaumbele, kama ambavyo inatakiwa. Sio baba zima linakunywa maziwa na mayai pembeni wakati watoto wana mwaka hawajaonja hata chai ya maziwa. Ni ubinafsi wa ajabu sana.

kweli,utakuwa umetoka kwenye familia inayojiweza.Tatizo sio ubinafsi ni kwamba hata baba nae anakuwa hajala kuku siku nyingi.Kuhusu maziwa nimeyakuta ukubwani
 
Mnanikumbusha mbali nyie,kulikuwa na tabia ya aliechinja kuku ni lazima ale shingo. Basi kuna siku nilichinja kuku na shingo sikupewa,niliitisha kikao cha kifamilia ili niambiwe kulikoni. Tulikuwa hatuli pilau mpaka siku ya sikukuu au siku ya sherehe.Mpaka leo nishaathirijka kisaikolojia kwani nikiona mtu anapika pilau najiuliza kama kuna sikukuu au sherehe. Vilevile sipati ladha ya pilau kwa siku za kawaida hata mpishi awe mtaalam sana. MAZOEA YANA TABU.
 
Mnanikumbusha mbali nyie,kulikuwa na tabia ya aliechinja kuku ni lazima ale shingo. Basi kuna siku nilichinja kuku na shingo sikupewa,niliitisha kikao cha kifamilia ili niambiwe kulikoni. Tulikuwa hatuli pilau mpaka siku ya sikukuu au siku ya sherehe.Mpaka leo nishaathirijka kisaikolojia kwani nikiona mtu anapika pilau najiuliza kama kuna sikukuu au sherehe. Vilevile sipati ladha ya pilau kwa siku za kawaida hata mpishi awe mtaalam sana. MAZOEA YANA TABU.

hehehe ni kweli shingo ya mchinjaji jamani maisha haya.Na ikifika sikukuu hata kama mama hana hela atahakikisha anakopa watoto wale pilau
 
kweli,utakuwa umetoka kwenye familia inayojiweza.Tatizo sio ubinafsi ni kwamba hata baba nae anakuwa hajala kuku siku nyingi.Kuhusu maziwa nimeyakuta ukubwani

Well kama kujiweza ni kuafford milo mitatu kwa siku then I guess you are right.

Tukirudi kwa baba kumiss kuku bado nasema ni ubinafsi, kwasababu hua haitokei mara moja au kwenye kuku tu. Familia ya aina hiyo inaongozwa na kauliza "ule wali wa baba uko wapi?" haisemwi chakula kiko wapi kwasababu kuna viwili, jumapili asubuhi "yale mayai/maini ya baba bado tu?". . . . Yani kila kitu baba baba. Watu wanaishia kukomba sufuria na kula ukoko wa wali.
 
Well kama kujiweza ni kuafford milo mitatu kwa siku then I guess you are right.

Tukirudi kwa baba kumiss kuku bado nasema ni ubinafsi, kwasababu hua haitokei mara moja au kwenye kuku tu. Familia ya aina hiyo inaongozwa na kauliza "ule wali wa baba uko wapi?" haisemwi chakula kiko wapi kwasababu kuna viwili, jumapili asubuhi "yale mayai/maini ya baba bado tu?". . . . Yani kila kitu baba baba. Watu wanaishia kukomba sufuria na kula ukoko wa wali.

ha haa haaa

Lizzy, ule uyoga wa baba vipi?
 
ha haa haaa

Lizzy, ule uyoga wa baba vipi?

LAT kisa cha kunishtukiza hivyo jamani?

Hujaona pale "this post have been deleted by Lizzy" ??
Niliweka picha zikawa zinazingua nikafuta. Kama unataka nikuwekee maelezo tu niambie maana yapo tayari alafu picha ntaangalia namna hata baadae.
 
Well kama kujiweza ni kuafford milo mitatu kwa siku then I guess you are right.

Tukirudi kwa baba kumiss kuku bado nasema ni ubinafsi, kwasababu hua haitokei mara moja au kwenye kuku tu. Familia ya aina hiyo inaongozwa na kauliza "ule wali wa baba uko wapi?" haisemwi chakula kiko wapi kwasababu kuna viwili, jumapili asubuhi "yale mayai/maini ya baba bado tu?". . . . Yani kila kitu baba baba. Watu wanaishia kukomba sufuria na kula ukoko wa wali.

hahaha hapo umenena ni kweli kabisa,hata kama kiporo cha wali kimebaki wengine kesho yake mtakula ugali na baba atapashiwa.Aisee i hated that life
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom