Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
Kwa wale ambao maisha yao ya utoto hayakutofautiana na yangu watapata picha halisi.
Nilizaliwa kwenye familia yenye kipato cha chini na kula kuku mpaka xmax.Na kuku akipikwa utamsikia mama 'hilo paja ni la baba' kwa hiyo sisi tunakula vipande vingine.
Hii tabia imeendelea kujijenga kichwani mwangu kiasi kwamba na utu uzima wangu kula paja kwangu ni mwiko, hata nikila na mtu nitakula vipande vingine nikwepe paja.
Hili ni tatizo ama?
Nilizaliwa kwenye familia yenye kipato cha chini na kula kuku mpaka xmax.Na kuku akipikwa utamsikia mama 'hilo paja ni la baba' kwa hiyo sisi tunakula vipande vingine.
Hii tabia imeendelea kujijenga kichwani mwangu kiasi kwamba na utu uzima wangu kula paja kwangu ni mwiko, hata nikila na mtu nitakula vipande vingine nikwepe paja.
Hili ni tatizo ama?