TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,765
- 4,033
Huyu ni Mwanamke au Mwanamme? Maanake Aunt halafu ezekiel, halafu alivyo?
Ni mwanaume mkuu!vipi tukupe namba yake anona umehamasika sana!!
Huyu ni Mwanamke au Mwanamme? Maanake Aunt halafu ezekiel, halafu alivyo?
Post nyingine zinasababisha jamii forums ionekane kama kijiwe cha kujadili majungu na umbea.
Mfano ni hii thread iko very personal na haina maslahi kwa mtu mojamoja wa kwa taifa kwa ujumla
nisaidie Bujibuji......yaani kweli cjui JF imekuwaje, cjui nani wa kulaumiwa...khaaa!
Thread ipo ki-ngono ngono zaidi. Lait angekuwa dada ako au ndugu yako ungethubutu kuileta hapa!?? Anyway sio nia yangu kumsema vibaya mwenye thread ila anatakiwa ajifunze na aone jinsi wana JF wasivyozipenda post za aina hii.
Used?
Ni mwanaume mkuu!vipi tukupe namba yake anona umehamasika sana!!
used mno