Ndio maana sisi wengine tumepigwa marufuku mashemeji hawakai ndani zaidi ya siku mbili.. huwa wanapita tu; na hilo jicho unalokatwa.... utakoma.
...imenibidi tu kuchangia.
Wote wanne (plus mtoto) ni waathirika kwa namna moja au nyingine.
Ukweli inabidi ukubalike kosa la uzinzi lishatokea.
Wasubirie mtoto azaliwe kisha wapime DNA.
Kuna kesi kama hii nilishawahi isikia,
"Inawezekana" vilevile hiyo mimba si ya huyo mume.
Yote yanawezekana kwa huyo 'mke' ndugu.
hilo tatizo ni zito haswa maana hata ukimuacha mmeo lakini mmezaa nae watoto lazima mtaonana tu kwa kuwa watoto wenu wapo kuna tukio litatokea mtakutana tena mara kwa mara na hata huyo mdogo wako mtakutana nae kila mara kwenye shughuli za kiukoo na kindugu hapo tatizo litakuumiza mpaka unaenda mavumbuni siku ya kifoningewaacha waendee na maisha na nina wac wac na undugu wangu kuendelea na huyo ndugu yangu...mume ndio ctaki hata kumuongelea coz huyo nicngempa hata sec kumruhusu kumuona mbele ya macho yangu...hili lickufike kabisa, hata ukisema unamsamehe mume bado familia ya mume haitaacha vimaneno, yani mtaonekana kama mbwa kasoro mkia.....hapana ni ngumu hii.
Habari wana JF
Naomba msaada maana hapa nilipo nimekaribia kuchanganyikiwa baada ya kutendwa na mtu niliyempenda na kumuamini sana hapa duniani....
Mimi ni mama wa mtoto mmoja lakini nina majonzi sana kisa kimeanza pale nilipomkaribisha mdogo wangu wa tumbo moja aje kukaa na mie kumbe mme wangu akaanza kutoka nae ...,hii imepelekea mdogo wangu kubeba mimba miezi 6 sasa nilipomuuliza ya nani akasema ni ya mtu iko siku nitamuona ..nilipomuomba amlete ili mme wangu amuone akadai ni pacha wa mme wangu..mara akaanza dharau kwangu nilipoendelea kumuhoji kwa kumtishia nimrudishe kijijini ndipo alipodai mimba ya mme wangu.....
Nilipomuuliza mme wangu alianza kulia na kudai nimsamehe sana amejaribu sana kumwambia mdogo wangu akatoe hiyo mimba ili asiniumize pale nitakapogundua lakini mdogo wangu alikataa na kudai amepata alichokua anakihitaji
Natamani kuikimbia hii ndoa iliyodumu kwa 12 years
Naomba msaada wenu ndugu zangu
NB : Sio mie FL1 na mama mwenzetu muathirika wa ndoa:A S embarassed:
Teamo, blaming won't amend a thing!firstlady,
WHO IS TO BLAME HERE?
Habari wana JF
Naomba msaada maana hapa nilipo nimekaribia kuchanganyikiwa baada ya kutendwa na mtu niliyempenda na kumuamini sana hapa duniani....
Mimi ni mama wa mtoto mmoja lakini nina majonzi sana kisa kimeanza pale nilipomkaribisha mdogo wangu wa tumbo moja aje kukaa na mie kumbe mme wangu akaanza kutoka nae ...,hii imepelekea mdogo wangu kubeba mimba miezi 6 sasa nilipomuuliza ya nani akasema ni ya mtu iko siku nitamuona ..nilipomuomba amlete ili mme wangu amuone akadai ni pacha wa mme wangu..mara akaanza dharau kwangu nilipoendelea kumuhoji kwa kumtishia nimrudishe kijijini ndipo alipodai mimba ya mme wangu.....
Nilipomuuliza mme wangu alianza kulia na kudai nimsamehe sana amejaribu sana kumwambia mdogo wangu akatoe hiyo mimba ili asiniumize pale nitakapogundua lakini mdogo wangu alikataa na kudai amepata alichokua anakihitaji
Natamani kuikimbia hii ndoa iliyodumu kwa 12 years
Naomba msaada wenu ndugu zangu
NB : Sio mie FL1 na mama mwenzetu muathirika wa ndoa:A S embarassed:
Kweli mwanaume unamtamani mdogo wa mkeo????
ha ha ha ha nilijua utasema ..ila kama ni mie cjui ningefanya nn mwenzenu mpaka sasa cna jibu muafaka
Au aombe talaka :A S-coffee:
Huwa anavua mwenyewe aisee.....
Normally mambo huwa anayaanza mdogo wako mwenyewe...sasa sababu mwili ni dhaifu...
Mwambie mme wake afanye taratibu amuoe tu si wamependana!
Kuna jamaa sisi bush huko kaoa mabinti wa 3 nyumba moja anamega kama hana akili nzuri.
labda wamechanganyikiwa hao...yaanui mr wangu anilale mie na sis wangu, haitokaa itokee, kuna vya ku share jamani...