na sisi tulio mabikra tena..taabu kweli kweli!
Eiyer siku ya kwanza huwa inakua na mambo mengi sana in real na hii iko hivyo tu tena kwa kila jambo siyo mapenzi tu. jiulize siku ya kwanza kwenda kwa bosi wako ulivyoappear na ulivyokuwa unaongea ni tofauti a baada ya kuzoea ofisi nafikir.
sasa ni bora zaid kwanza kutopania vitu vya siku ya kwanza yaani uwe at ease basi ili kuwepa kuperform ama chini ama juu ya kiwango.
na sisi tulio mabikra tena..taabu kweli kweli!
Yaani nyie hadi akaupate ni baada ya mwaka mzima, halafu siku ya kwanza huvui, ni lazima kupitisha pembeni mwa c.....p..!!! Na ukiongeza matumizi ya kinga, inakuwa tabu tupu. Ila kwa kuwa umenizungusha mwaka mzima, inabidi tu.
I hate mapurukushani . . . . . . .!!!!
I hate teen . . . . . . !!!!
I hate mapurukushani . . . . . . .!!!!
Wakati nachangia thread ya gfsonwin ,ya kuhusu wanawake wa Kiafrika kua na aibu kunako 6*6,kuna jambo nililigundua.Kuna suala la siku ya kwanza ya kukutana kimwili na mpenzi mpya.Mara nyingi siku hii huwa sio nzuri kwa sababu ya "tension" na "ugeni" kila mmoja kwa mwenzake.Ni vyema wapenzi wapya wasiamue uhodari,uzembe na hata usafi wa wapenzi wao wapya kwa mujibu wa siku hii.Kuna watu huamua kusafisha miili yao au mahali wanapoishi kwa kuwa wanakutana na wapenzi wapya kumbe wakizoeana hurudia hali zao za zamani.Suala la uhodari na aibu during sex nalo huathiriwa na siku ya kwanza.Mtu anaweza kuwa na aibu kwa kuwa hajakuzoea au akawa hodari kwa kuwa wewe ni mpya.So ni vyema ukampima mtu angalau kwa gem kuanzia 4 na kuendelea . . . . .!!
hahaah, siku ya kwanza na msichana mpya- mambo yote yaliishia mapajani, hadi leo huyo dada sijampata na tukionana naye huwa namtania nipe tena sitaharibu..naambiwa kajifunze tena
Very nice, me too. I hate them, they always disturb asking for scratch card, I mean air time !!!! But they never call, only flushing !!!!
Hahahahha mkuu mimi kuingiza tu tayari nishamaliza... ila nashukuru alinipa second chance na sasa ndio wife...du ni mbaya sana.