fazaa
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 2,984
- 1,026
[h=6]Padri na Shekhe walikutana kwenye ndege, Padri akamkaribisha Sheikh kitimoto, Sheikh akasema: hatuli. Padri akasema: mnakosa utamu!.
Wakati wa kushuka, Sheikh akamwambia Padri: nisalimie mkeo.
Padri akajibu: ss hatuoi.
Sheikh akasema mnakosa utamu!.
Jee! Kati ya Padri na Sheikh, nani anakosa utamu?[/h]
Wakati wa kushuka, Sheikh akamwambia Padri: nisalimie mkeo.
Padri akajibu: ss hatuoi.
Sheikh akasema mnakosa utamu!.
Jee! Kati ya Padri na Sheikh, nani anakosa utamu?[/h]