Padri Karugendo: Spika huyu si bora kwa Bunge la Wananchi!

Mbona yule Mbunge aliyesema Uongo juu ya Waraka wa kanisa hakuambiwa alete Ushahidi
 
Huyu ni mwandishi wa makala za RAIA MWEMA HAMJUI nini?? Na huyu si padri maana aliachishwa upadri miaka ya nyuma huko. Huyu ni sawa na Dr Slaa. Naye alikuwa padre na akaaomba yeye mwenyewe kwa Papa kuacha updre.
Habari ndo hiyo na msikasirike bila kujua, Jina tu hilo na si padre. MSOME MAGAZETI YA TZ, MTAWAJUA WAANDISHI WA MAKALA

Tembelea Raia Mwema - Muungwana ni Vitendo

Bora umeelimisha mapema.Alikuwa pia ni mwandishi wa gazeti lile lililonunuliwa na fisadi,nadhani hayupo huko siku hizi!
 
Idumu,
Inaelekea wewe ni mkatoliki na unajua vizuri historia za Karugendo na Dr. Wilbroad Slaa.

Lakini inaelekea wewe ni mkatoliki usiyejua kinachofundishwa na imani kanisa lako.
Toka lini kanisa katoliki likawa na uwezo wa kumvua mtu upadri. Eti Dr. Wilbroad Slaa si padri tena. Wala Karugendo si padri unataka tumuite ni mwandishi wa makala tu.

Nyinyi ndiyo wale walioandika askofu Jacob Koda avuliwa uaskofu wakati upadri na uaskofu ni madaraja ya sakramenti.

Hebu elimika kwa kusoma makala ifuatayo kwa kuclick hapa kwenye mabano ( Blog Archive Padri akiachishwa upadri tujiadhari nini toka kwake?)

Ukishaelimika ndiyo turudi kwenye mada iliyopo jamvini.

Mkuu huenda akawa sio Mkatoliki usilaumu mana Dr Slaa na Karugendo wote ni ma Padre na jamii inajua hivyo,sina uhakika kama wameacha kuandika ktk gazeti makala anazoandika karugendo kuwa ni 'Padre'.
 
Padre ni mwananchi naye anapiga kura kwanini asikemee maovu?
Pili wote tunaoanadika humu ukiwemo wewe unayehoji kwani wote tunashughulika na siasa?
Siasa ni jukumu la wapiga kura wote.Na maamuzi yao yanaathiri sekta zote
 
Hivyo nilivyo highlight kwa red inatakiwa visomeke hivi Siasa = dini
maana wadau wao(wananchi) ni wale wale na malengo yao mara zote ni yale yale tu. Lakini ili kutufanya sisi mabwege tunaambiwa ni vitu tofauti. Naweza kukuletea mifano toka karne kabla ya Kristo na hata baada ya kristo.
Futa mawazo ya kuweka neno
NA katikati ya maneno hayo mawili. Weka =

Na ndo maana nikasema kanisa limepoteza mwelekeo, kanisa halichanganyi dini na siasa,
Bibilia inasema usimuukumu mwenzako, siasa ina judicial systems.
Mwachie kaisar na mambo yake ya siasa na mchungaji na dini. ukirsto umeweka tafauti very clear kati ya siasa na Dini visichangnywe, kwa kupoteza mwelekeo wa dini ndo maana wachungaji wanashindwa na majukumu yao wanakimbilia kwenye siasa. Pale kanisani kuna uozo mingapi? wakemee pale kwanza. sababu majukumu ya kanisa nimakubwa zaidi ya serikali. mapadre waache kuparamia
 
Hilo tatizo la mtu binafsi kama padri ni mbakaji hiyo inakuwa ni hulka yake kama ilivyo kwa maImam na masheck kwenye madrasa kila siku wanababwa kwa hicho sio kigezo cha kumkatalia Padri ambaye ni Mtanzania asizungumzie mambo yanayoiguza jamii



Padre jukumu lake nikubwa kuliko serikali, anatakiwa akemee wanayotokea makanisani badala ya kuparamia siasa. Viongozi wadini zote wanatakiwa watekeleze majukumu yao kwenye nyumba za ibada waache siasa pembeni. ndo maana sikuhizi hawa viongozi wa dini heshima zao zimeshuka tafauti na zamani, walipokua wakiongea wanasikilizwa sas hivi wanajipendekeza kwa wanasiasa mwisho wao nao wanakua mafisadi. wawasubiri wakija kwenye makanisa waaubirie kiroho
 
Wakuu
Nilikuwa naiamini JF kuwa watu WENGI wako makini, ni wafuatiliaji, wasomaji na wachambuzi wazuri wa habari, sasa mtazamo unabadilika. Hili la Karugendo limenishangaza, watu hawataki kujua historia, hawataki kusoma nini kinaendelea ndani ya taifa lao la Tanzania...wanadandia treni kwa mbele...baadhi ya watu JF wako..out of touch... Mtanzania hata uwe unafanya kazi isiyo kazi una haki ya kutoa maoni yako kama Mtanzania. Sasa basi Mtanzania akazungumzie wapi kuhusu nini kwa ajili ya nani?
 
i wish ningekuwa na gun!mtu kama Bull,i would just ELIMINATE HIM.bs'e idn't like the way he misuses the motto 'WHERE WE DARE TO TALK OPENLY'
 
Kupanda watu vichwa kivipi, hawatakiwi kuhoji ama kukosoa? Wao si waTZ? Inaelekea unachuki binfsi na mapadre na kwamba kwa kiasi kikubwa wanagusa maslahi yako km sio yenu?[/QUOTE

Wakuu tufike mahala tuwe tunachukua muda wa kufiri kabla hatujasema kitu.Padre karugendo ni mwandishi, alikuwa padri ameacha/kuachishwa.
padre inayotumika sasa nikama tunavyo wale waliostaafu ambao walikuwa na career fulani k.m Mwalimu Anna.
Hata hivyo yeye pia ni raia ambaye anahaki/wajibu wakuhoji jmbo lolote huo ni uhuru wake wa kikatiba.Chuki za Dini zitatufikisha pabaya.
 
Guys muwe mna comment kwa kile karugendo alicho put forward...kum attack yeye shows level ya uelewa..kama kwenye JF huna cha ku comment kwenye issues better do other things...mnachekesha
 
i wish ningekuwa na gun!mtu kama Bull,i would just ELIMINATE HIM.bs'e idn't like the way he misuses the motto 'WHERE WE DARE TO TALK OPENLY'


Kwanin unipige gani? while we dare to talk openly kwenye hii motto, so talk!! hakunahaja ya kuniuwa bure.

natoa mawazo yangu, jibu kwa hoja sio bunduki, wazakowengi wanakaa kimnywa wakishiwa na hoja. tushiriane kuwakemea wachungaji wanapo misuse churches, vinginevyowatatupeleka pabaya
 
Huyo Padre hakutakiwa alitakiwa afutate mambo ya kanini kwakwe

Hoja ni nzuri ilitakiwa waiongee wange wenyewe yeye hatoweza kumwondoa mzee six
 
ILi tuweze kusonga mbele Mnaonaje watu wanaotoka nje ya hoja wasijibiwe. Hii itawafanya siku nyingine wawe makini
 
Katuni3.jpg
 
I beg of Muslims to make good of their threat na kuinyima kura kweli CCM. Hiyo itaonyesha viongozi kuwa hawawezi kuahidi chochote na kuki puuzia baada ya kupewa kura. Na pia hiyo itaonyesha kweli useriousness wa Waislamu. Siyo kuilalamikia CCM halafu mwakani wana wapa kura tena. Lakini pia ni chama gani cha upinzani kina mahakama ya kadhi kwenye ilani yao? The obvious move itakuwa wao kuwa pigia tu CCM maana ndiyo chama pekee wanacho weza kukibana na kusema kwamba mliahidi mahakama ya hadhi sasa timizeni. Wasipo chagua CCM kikaingia chama kingine kutakuwa na nguvu ya kuwadai? Maana sasa hoja kubwa ni mahakama ya kadhi kuwa kwenye ilani ya CCM. Mimi hapa kama naona empty threats. They need CCM as much as CCM needs their votes.
 
Karugendo ni Padre, ila hafanyi tena kazi hiyo ni raia kama raia yeyeto.
Ila hata watumishi wa Mungu wanaguswa na hali mbaya ya maisha kwani wanatumia huduma hizi hizi za jamii, kama barabra, maji, hospitali, simu,nk
 
Back
Top Bottom