The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,393
- 12,976
Hivi Padri Karugendo kama raia wa TZ mnataka kusema hana haki ya kuongea au kukemea maovu kwa vile yeye ni padri. Hivi matatizo yakitokea unafikiri yeye haadhiriki??
Yeye kama raia wa TZ ana uhuru wa kuongea ispokuwa hasivunje sheria za nchi. Sasa kama amevunja sheria then sheria ichukue mkondo wake.
Yeye kama raia wa TZ ana uhuru wa kuongea ispokuwa hasivunje sheria za nchi. Sasa kama amevunja sheria then sheria ichukue mkondo wake.