Padre aitaka CCM ijiandae KUONDOKA; Adai yuko tayari kupigwa risasi akisema ukweli

Status
Not open for further replies.
kwa sababu yeye haishi tanzania hana haki ya kusemea maovu ya ccm,hivi hawa viongozi wa dini,maisha magumu hayawahusu wao??shida yetu hatupendi kusikia ukweli.maisha ya sasa huwezi kuyalinganisha na kipindi cha mkapa.mie naona anahaki ya kusema kilichopo,ccm imeshindwa.labda kama kunasheria inayoeleza viongozi wa dini hawaruhusiwi kusema chochote kuhusu matatizo ya wananchi au kumsema hadhalani anayesababisha.
padri,mchungaji,shehe,wote wanahaki ya kusema kuhusu mienendo mibaya ya serikali maana hata wao yanawahusu,wale ni watanzania kama wewe.
 
pia makanisa yalianzisha chochoko somalia, misri. algeria, Tunisia, Libya, syria, Iraq, Nigeria na Afraghastan......ambako wakristo ni wengi kuliko waislamu kama sensa ya haki itafanyika

Umesahau ni nani aliyasema haya? "you're either with us or against us"?
 
padri huyu pengine kasomeshwa kwa pesa ZA MOU. kweli shukrani ya punda ni machuzi

Jk aliwajibu kwamba kanisa liliomba MOU na nyinyi ombeni badala ya kulalamika wenzenu ndio wanasonga mbele miaka inakimbia mtazidi kuachwa nyuma??????????? Waislamu watumie nafasi ya Rais kuwa Mwislamu kuomba mashule na mahospitali ya msikiti kuingia kwenye MOU.

MOU ilisainiwa mwaka 1992 wakati wa utawala wa Ally Hassan Mwinyi mara nyingi najiuliza kwa nini Mwinyi aliingia mkataba huu na kanisa bila kuhusisha Waislamu
 
TANU ilikomboa nchi hii mikononi mwa mkoloni bila kupata ushirikiano wa kanisa, na CCM ilishinda uchaguzi wa 2015 bila kuungwa mkono na kanisa. Upinzani wakiujua ukweli huu nao wataing'oa CCM.
 
Hana tofauti na wale madevu wa Unguja.
Akitaka kuingia siasa si anamwona Mchungaji Msigwa?
Asitumie vibaya mimbari isiyo yake.

I totally disagree with your views which reflects poor thinking...padre anaongelea maisha bora kwa kila mwananchi bila kujali itikadi....amani...upendo.. na.. umoja. Sasa nyie huu udini na itikadi wapi na wapi? Take time to reflect..think critically before posting awkward comments....
 
Umesahau ni nani aliyasema haya? "you're either with us or against us"?


kuna mtu anataka kutuaminisha kwamba kwa kuwa rwanda kanisa lilihusika kwenye vita nikatumia muda huo kumdhihaki kwamba angeongeza na nchi hizo za somalia nk nk.
 
CCM ya Nyerere na Mkapa sio CCM ya leo.
CCM ya leo ikoje? Serikali yake si ndiyo imewachagua viongozi wa NECTA kama akina Dr. Ndalichako ambao kila siku mnasema wanalitumikia Kanisa? Umeshasahau ile 83%/17% ? Kwanini serikali ikikemewa especially na viongozi wa dini ya kikristo mnasema ni wadini na wanafanya hivyo kwa sababu rais ni muislam lakini mnapozungumzia kudhulumiwa kwa waislam ktk sekta ya ajira serikalini mnaanza kusema serikali inaendeshwa na mfumo kristo au inafuata maelekezo ya Kanisa? Mimi siwaelewi.
 
haya majitu hufikiria kwa hatua moja tú mbele,zaidi ya hapo ni yaleyale ya Al shabab nchini somalia au mambo ya boko haramu Nigeria.Acheni akili hizo fupi pandikizi bali upe nafasi ubongo upate kutafakari.usikurupuke na hoja zako za udini.Padri ni sawa na yeyote awaye raia kwani yanayowasibu raia wengine nae ndio ayapatayo .hivyo anazo haki zote za msingi kuhoji mstakabali wa mambo ya nchi yanavyokwenda na pia kutoa suluhisho la nini kifanyike kama raia.achana na elimu yako ndogo ya madrasa kasome elimu ya uraia ili ujue jambo gani la kuongea na sio hizo pumba.
 
Kudos padre Mapunda, umeongeza chachu ya mabadiliko, lakini umekosea kutoa kauli ya woga, kwa nini unajishuku utapigwa risasi!! kauli yako sio tishio kiasi cha watawala kuamua kukutoa uhai hata kidogo!! kama ni hilo basi kina mchungaji Christopher mtikila, Askofu Yuda Thadeus Ruwaichi, Cardinal Pengo, wanasiasa kama Mze Edwin Mtei, hayati Bob Makani Dr. slaa, Freeman Mbowe, JJMnyika, Tundu Lissu wa CDM au Luhaga Mpina, Deo Filikunjome, Mukono wa CCM ambao wanapingana na chama chao bayana na wengi wengineo, watu jasiri kama hao tungekuwa hatunao tena duniani!!
kifo cha CCM kimetabiliwa pia na Nabii TB Joshua wa Lagos Nigeria, maana yake ni kwamba CCM imeanza safari ya kuelekea kuzimu, hilo sio siri hata CCM wenyewe wanalijua lakini "a boer can not commit suicide" sio rahisi wao wenyewe kutupa taulo ulingoni ni lazima kuwe na external forces, ambayo ni wananchi walioamka na kuukataa kwa mioyo yao yote, ufisadi, rushwa, ubadhirifu wa mali zetu na dhambi nyingine kama hizo. the writing is on the big screen, take heart padre mapunda, "you are not alone"; gwiji la POP music Michael jackson liliimba!! If worse comes to worst; "they can may be kill the man BUT they can never kill the ideas" you may die but your ideas for change will outlive you and the mantle for change be taken up by the next generation. and that is the truism of life!

!
 
hawa mapadri na mashehe bora waendelee kula hela za miskiti na makanisa tu, siasa wanaitakia nini? Watakuja kugombanisha watu kwa tamaa zao.
 
I totally disagree with your views which reflects poor thinking...padre anaongelea maisha bora kwa kila mwananchi bila kujali itikadi....amani...upendo.. na.. umoja. Sasa nyie huu udini na itikadi wapi na wapi? Take time to reflect..think critically before posting awkward comments....
Poor thinking ?
My foot!
Take the converse, and try picturing a scenario whereby Mbowe or Kikwete would use the church altar or the imams chamber in the mosque to deliver the same or similar message.
Critical thinking, my poor soul, is a better remedy for you and the kind.
 
Huyu padri mdini sana. Kwa kuwa mwenyekiti ni muislam ndio kaibuka. Alipokuwa mkapa alinyamaza kimya.
2015 utasikia huyu ni mbunge wa chadema

.
Kwa kuwa m/kiti ni muisilamu??? Kweli kabisa aliyewaloga watanzania kafa na funguo za kuwafungua kazikwa nazo!
.
 
HUYU PADRE NI JEMBE NA HAFICHI MANENO, PENYE UKWELI ATASEMA HATA KAMA UNAHUSU KANISA.
Ndugu zangu waislam nadhani jaribuni kufikiri zaidi badala ya kutumia akili za kitoto kuelekeza hoja kwenye ubaguzi wa kidini. Nadhani tukikaa pamoja kama taifa tukawa na priorities za kitaifa, dini hazina maana kwetu maana UISLAMU NA UKRISTO si vyetu ni mapandikizi tu ya wakoloni kwa lengo la kutuvuruga. Nchi kwanza DINI zetu baadae. Akiwa mkristo ama muislamu, atakuwekea kijiko cha wali mdomoni? atakusomeshea mwanao bure?
Pambana kujikwamu kimaisha na kuwekw msingi bora wa maisha yako na wanao, siyo kufikiria ubaguzi wa DINI. Let religious beliefs perish and TANZANIA live in our minds.
Asanteni nyote.
 
Status
Not open for further replies.
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom