FisadiNyangumi
Member
- May 4, 2009
- 34
- 1
Ndugu watanzania nafikiri kuna baadhi tu wanaoona hii starehe ya riitta paulsen ya bongo search kupiitia itv.tulijua wao ndio watakuwa wa kwanza kuelimisha jamii lakini inasikitisha sana kuona mtu mzima kama dada ritta akimwangukia ama kumwegemea MASTER J mbele ya watoto..hiii ni aibu sana
lingine ni kitendo cha huyu anejiita PFUNKY nahisi ritta kama anataka watu wamheshimu amwondoe kabisa huyu takataka....huyu mtu akiwa kibgoma jamani nilipata nafasi ya kumwona akiwatoa nishai waimbaji kwa kuwatukana hadharani...kama
unafanya kazi gani//...shoshine we nenda na shoshineyako katafutie maisha huko
kibaya zaidi alimuuliza dada mmoja ulijiandaa kwei wakati unakuja ..akajibu ndio...akamjibu mi nakushauri nenda tu ukatafute watoto
huu nii upuuzi ambao hautakiwi kuvumilia hawa ndio wanaotakiwa kuonyesha mfano kwa jamiiii.......wewe pfunky wanawake wangapi wenye ukimwi uliotembea nao....acha dharau kunguru weye maisha hayaendi hivyo wae mnaowaona hawako pale kwa ajili ya njaaa unavyoiona wewe
pnchot mkubwa
Mi nashauri ITV waachane kabisa na hawa takataka
lingine ni kitendo cha huyu anejiita PFUNKY nahisi ritta kama anataka watu wamheshimu amwondoe kabisa huyu takataka....huyu mtu akiwa kibgoma jamani nilipata nafasi ya kumwona akiwatoa nishai waimbaji kwa kuwatukana hadharani...kama
unafanya kazi gani//...shoshine we nenda na shoshineyako katafutie maisha huko
kibaya zaidi alimuuliza dada mmoja ulijiandaa kwei wakati unakuja ..akajibu ndio...akamjibu mi nakushauri nenda tu ukatafute watoto
huu nii upuuzi ambao hautakiwi kuvumilia hawa ndio wanaotakiwa kuonyesha mfano kwa jamiiii.......wewe pfunky wanawake wangapi wenye ukimwi uliotembea nao....acha dharau kunguru weye maisha hayaendi hivyo wae mnaowaona hawako pale kwa ajili ya njaaa unavyoiona wewe
pnchot mkubwa
Mi nashauri ITV waachane kabisa na hawa takataka