P-Funk anavaa saa ya Rolex yenye thamani USD 9,250!

Na Swiss Swatch utaifananisha na gari gani!!??....

Nilikuwa namchana dogo kwamba rolex ndo watengeneza saa wakali hao wengine wanaiga na kutaka kuvunja record!mvaa saa yeyote anajua rolex kitu gani!kuna rolex za bei za kawaida na expensive balaa!!!hapo vacheron constantine mkuu umenikumbusha yangu moja niliyohonga ila ikikuwa dollar 450 sema kama hiyo!
 
Sasa Mercedes mbele ya Phantom Rolls Royce ina nini?

Ushawahi hata kuzisikia saa za Audemars Piguet wewe?

Wewe una google watu wananunua!!!hiyo ndo tofauti!mimi nataka mashindano na wewe ya kumiliki saa kali siyo bla bla hapa jamvini!
 
ha ha ha ha ha sina uhakika na his sources of Income apart from kugonga ngoma ambapo hata hivo kwa miaka ya hivi karibuni kazi zake ni chache sana zilizopo sokoni na zinazohit
 
Gosh!
Mbona Samweli Etoo mwaka juzi aliwanunulia wacheza wa timu ya taifa ya Cameroon saa $9000ea x 35guys=????????????so why pfunk???
Kuna mwingine eti ana comment kwamba Obama hawezi vaa saa ya pesa hiyo.......bullshit!!Hivi kwa taifa kubwa kama marekani unategemea rais wake atavaa saa ya laki 200,000??????Gosh!!!!!
 
Gosh!
Mbona Samweli Etoo mwaka juzi aliwanunulia wacheza wa timu ya taifa ya Cameroon saa $9000ea x 35guys=????????????so why pfunk???
Kuna mwingine eti ana comment kwamba Obama hawezi vaa saa ya pesa hiyo.......bullshit!!Hivi kwa taifa kubwa kama marekani unategemea rais wake atavaa saa ya laki 200,000??????Gosh!!!!!

Kama hizi?
10687117-rolex-watchesrolex-watches-official-websiterolex-watches-for-salerolex-watche.jpg
 
mjini kuna mbwembwe humu! mtu unavaa saa ya bei kama iyo na bado watu hawashtuki kwa sababu hawajui thamani yake sasa kuna faida gani

Kama unavaa au unafanya kitu watu washtuke una kazi kubwa!
 
P funk anavaa saa asivae inawahusu nini na nyie c mtafute vya kwenu kinawawashia nini!!
 
mh nawashukuru wachina. Na mimi nna Tag Heur ukikiona utajua nimenunua hata milioni kumbe bei fololo. Thanx to china
 
we unadhani wanavaa ili iweje?

binafsi navaa ili nionekane na raia wajue bei ya vyombo navyotupia!!!ukitaka unifurahishe nikigonga chombo cha ukweli uniulize designer au nimenunua wapi!!!hapo utafurahi na roho yako kama siyo kuchukia!
 
Kama hizi?
10687117-rolex-watchesrolex-watches-official-websiterolex-watches-for-salerolex-watche.jpg

obama sio kwamba hawezi kununua hujaelewa, haitaki kuvaa saa ya gharama hizo kuna mambo mengi yanamsubiri kudeal nayo, nchi yake ina economic crisis, usifikiri ni rais wenu watu wanakufa na njaa ye kila siku anapanda ndege
 
Tatizo ya wabongo mnadanganywa sana, dola elfu tisa,mnazijua au mnazisikia????? wewe unadhani awarekodie wasanii wangapi azipate hizo hela????? Acheni kudanganywa china kuna rolex mpaka dola 300. pia vile viatu wanavyovaa kina uwoya na wema eti wanasema wananunua milioni moja au mbili waongo, viatu vinauzwa uk kuna duka linaitwa primark la vitu vya bei cheee, vile viatu mpaka poud 10 ,15 unapata. dah nashangaa sana mnavyotapeliwa kiakili
 
Inawezekana as p funk background yake sio choka mbaya, unajua shule amesoma IST, international school of tanganyika enzi hizo, je mnajua school fees ya ist ikoje? Tukiachana na hiyo mnajua kama baba yake ni mzungu ambao kina mange wanawawinda, music producers wa those days p funk and master jay ni watoto wa kishua sio hela za mziki, mnajua kama baba yake na master jay, mzee kimario alikuwa mkurugenzi tanesco miaka ya 90, so hawa watoto kina p funk, m jay, d money wa downtown record enzi hizo. Ni watoto wasiopanda daladala toka utotoni.. Na music walifanya for fun hadi ikawa business na trips za mtoni kwao ni kawaida sana, so kwa background hizo sio ishu kuvaa saa za usd 9000 as familia zinaruhusu, sasa kama mtu kasomeshwa IST, school fees per year zaidi ya million 10 atashindwa kuvaa saa ya bei hiyo, tufanye kazi jaman na sisi watoto wetu wa enjoy

Msijidanganye wadau,kwanza kua baba ake ni mzungu sio ishu,si kwamba kila mzungu anahela, pia kusoma i.s.t sio ishu. ukiwa bongo ada ya i.s.t ndio unaiona kubwa ila ukiwa ulaya hela ya ulaya kwa ulaya ni ndogo lakini ukiitumia bongo inakua ni kubwa. so baba ake anawezekana kua ni mtu wa kawaida tuu na aka afford kumlipia hio shule coz poud ina thamani kwa hela za bongo. kisha huku ulaya hata kama hufanyi kazi unalipwa, unalipiwa nyumba,chakula,bili za umeme na kila kitu na social. acheni kujidanganya, so ni kukueleza kwamba si kila mzungu tajiri, hawana lolote wengine. Pia kuhusu kua na saa ya dola elfu tisa ni uongo,hawezi nunua, hata km anazo hizo hela atafanyia kitu chengine. wabongo acheni kudanganywa, pia hayo magari mnayoyaona huko wanatumia huku ni bei cheeeeeee, hata mtoto wa shule ya msingi akifika miaka 17 tu anagari yake, huku gari sio ishu, hayo magari wananunua kwa bei chee kisha wakiyaleta huko wafanya biashara wanabambikia kwa bei juu au wao wenyewe wanayajidai wamenunua kwa bei juu, kwa mfano mdogo huku toyota avensis unapata mpaka pound 400 au 500 cheki Auto Trader UK - Used cars for sale utaona bei yake. acheni kudanganywa na wasanii na maproducer mavi
 
Back
Top Bottom