PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,723
Kuna jamaangu alipata kusema kwamba "Ndugu yangu ukimwonyesha mkeo `Salary Slip` umekwisha!, maana atazua matumizi yasiyo ya lazima, hadi ahakikishe fedha zote zimeisha"!
Lakini pia, kwa uchunguzi wangu binafsi kumekuwa na tabia ya watu wengi kuficha kwa wake zao (au waume zao), figures halisi za mishahara yao.
Ukiacha Mishahara, pia kuna marupurupu lukuki ambayo huenda mume au mke anaweza akawa anayapata, lakini yote haya hayasemwi kwa uwazi kwa mwenza.
Kuna vitu kama overtime, tips, bakshishi, commission za manunuzi, allowances kadha na safari packages ambazo wanaume wengi hawaziweki wazi kwa wake zao pindi wazipatapo.
Je kuna ukweli gani kuhusu jambo hili?
Ni halali kuweka hadharani mafao haya kwa mwenza, au ni salary slip tu inayotakiwa kuonyeshwa?
Lakini pia, kwa uchunguzi wangu binafsi kumekuwa na tabia ya watu wengi kuficha kwa wake zao (au waume zao), figures halisi za mishahara yao.
Ukiacha Mishahara, pia kuna marupurupu lukuki ambayo huenda mume au mke anaweza akawa anayapata, lakini yote haya hayasemwi kwa uwazi kwa mwenza.
Kuna vitu kama overtime, tips, bakshishi, commission za manunuzi, allowances kadha na safari packages ambazo wanaume wengi hawaziweki wazi kwa wake zao pindi wazipatapo.
Je kuna ukweli gani kuhusu jambo hili?
Ni halali kuweka hadharani mafao haya kwa mwenza, au ni salary slip tu inayotakiwa kuonyeshwa?