Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,499
- 86,037
Wapendwa, baada ya wanaJF kumchamba dada yenu, Mwa..nini vile kwa swali lake la kizushi, sasa nafikiri ni muda maarufu kwa wale woote ambao hawakumtukana wala kumjibu vibaya kwenda kujipatia kitimoto kwa majibu mazuri ya kumsaidia mpwa wetu.
Kinapoa sasa, twendeni basi.
Yatosha uasi wa siku kwa siku ya leo, tubuni mkabatizwe na kuokoka, ndio meseji ya leo
Kinapoa sasa, twendeni basi.
Yatosha uasi wa siku kwa siku ya leo, tubuni mkabatizwe na kuokoka, ndio meseji ya leo