Ovulation kwa mwanamke.

J.o.s.e.p.h

Member
Mar 4, 2012
20
1
Jamani naombeni kujua, nitajuaje ovulation ya mke wangu ili niweze kuamua tuzae mtoto wa jinsia gani.!
 
hili swali sasa....hebu pitia pitia humu humu jf doc....kuna thread 113 za aina hii...mpaka picha....
 
Joseph utajua kwa kuhesabu siku zake,anzia siku anayopata bleed kuesabu hadi siku 14(kama mzunguko wake ni mfupi siku 28)siku ya 14 ndo haswa unaweza pata mtoto wa kiume,ukiwahi kabla ya hiyo siku unaweza pata wa kike.kama mzunguko wake ni mrefu yaani zaidi ya siku 29 inabidi uhesabu siku 18 na hiyo ndo siku haswa ya kupata mtoto wa kiume.
Ila siku zinabadilika badilika kwa wanawake wengi mwezi huu anaweza kuwa na mzunguko mfupi mwezi mwingine anaweza kuwa na mrefu hivyo inahitaji timing ya kuhesabu mara kwa mara.
Choice ya mtoto
mwanamke anatoa XX-ambazo ambazo zinatoa mtoto wa kike(zinaspeed ndogo na zinachelewa kufa)
Mwanaume anatoa XY- ambazo zinaweza kutoa wa kike au wakiume(zinaspeed sana na zinawahi kufa mapema)
Hivyo mwanaume anayetoa XY mnatakiwa mfanye tendo exactly day ili sperm za mwanaume Y zinazotoa mtoto wa kiume zisife mapema(iwe ndani ya masaa 12 ya siku ya ovaluation)ukiwahi kufanya sperm za Y zitakufa mapema na yai likipevuka litakuta Y imekufa imebaki X ya mama na X ya baba hapo ni mtoto wa kike ila kama utafanya exactly day Y kwa vile inaspeed kuliko X yenyewe itawahi kufika na yai litaikuta Y hivyo atakua mtoto wa kiume.wa kike ni simple just mfanye kabla ya siku ya 14 au 18 yaani siku ya 12 na13 na siku ya 16 na 17 hapo Y itaenda speed na mwisho wa siku itakufa mapema X itakuja taratibu na kupata mtoto wa kike.
But ishu ya kuchagua mtoto ni kumwachia mungu sometimes zinagoma hizi theory maana kuna factor nyingi za kufuata
 
Kumbe jinsia ya mtu inatokana na mwanaume, ok. Kuna watu wanajinsia mbili, au wengine haeleweki kabisa kama Caster Semanya hapa inakuwaje?
 
Joseph utajua kwa kuhesabu siku zake,anzia siku anayopata bleed kuesabu hadi siku 14(kama mzunguko wake ni mfupi siku 28)siku ya 14 ndo haswa unaweza pata mtoto wa kiume,ukiwahi kabla ya hiyo siku unaweza pata wa kike.kama mzunguko wake ni mrefu yaani zaidi ya siku 29 inabidi uhesabu siku 18 na hiyo ndo siku haswa ya kupata mtoto wa kiume.
Ila siku zinabadilika badilika kwa wanawake wengi mwezi huu anaweza kuwa na mzunguko mfupi mwezi mwingine anaweza kuwa na mrefu hivyo inahitaji timing ya kuhesabu mara kwa mara.
Choice ya mtoto
mwanamke anatoa XX-ambazo ambazo zinatoa mtoto wa kike(zinaspeed ndogo na zinachelewa kufa)
Mwanaume anatoa XY- ambazo zinaweza kutoa wa kike au wakiume(zinaspeed sana na zinawahi kufa mapema)
Hivyo mwanaume anayetoa XY mnatakiwa mfanye tendo exactly day ili sperm za mwanaume Y zinazotoa mtoto wa kiume zisife mapema(iwe ndani ya masaa 12 ya siku ya ovaluation)ukiwahi kufanya sperm za Y zitakufa mapema na yai likipevuka litakuta Y imekufa imebaki X ya mama na X ya baba hapo ni mtoto wa kike ila kama utafanya exactly day Y kwa vile inaspeed kuliko X yenyewe itawahi kufika na yai litaikuta Y hivyo atakua mtoto wa kiume.wa kike ni simple just mfanye kabla ya siku ya 14 au 18 yaani siku ya 12 na13 na siku ya 16 na 17 hapo Y itaenda speed na mwisho wa siku itakufa mapema X itakuja taratibu na kupata mtoto wa kike.
But ishu ya kuchagua mtoto ni kumwachia mungu sometimes zinagoma hizi theory maana kuna factor nyingi za kufuata

Asante sana mkuu kwa maelezo mazuri.
 
Mkuu Satellite umeongea kitu cha maana sana,wakati mwingine ni kweli kabisa THEORY inaweza ikupatie unachotaka. Kubwa hapo lazima ujue kwenye uumbaji MUNGU ana mkono wake. Ila mleta thread fuata ushauri uliopewa na wana JF kufikia azma yako.
 
Joseph utajua kwa kuhesabu siku zake,anzia siku anayopata bleed kuesabu hadi siku 14(kama mzunguko wake ni mfupi siku 28)siku ya 14 ndo haswa unaweza pata mtoto wa kiume,ukiwahi kabla ya hiyo siku unaweza pata wa kike.kama mzunguko wake ni mrefu yaani zaidi ya siku 29 inabidi uhesabu siku 18 na hiyo ndo siku haswa ya kupata mtoto wa kiume.
Ila siku zinabadilika badilika kwa wanawake wengi mwezi huu anaweza kuwa na mzunguko mfupi mwezi mwingine anaweza kuwa na mrefu hivyo inahitaji timing ya kuhesabu mara kwa mara.
Choice ya mtoto
mwanamke anatoa XX-ambazo ambazo zinatoa mtoto wa kike(zinaspeed ndogo na zinachelewa kufa)
Mwanaume anatoa XY- ambazo zinaweza kutoa wa kike au wakiume(zinaspeed sana na zinawahi kufa mapema)
Hivyo mwanaume anayetoa XY mnatakiwa mfanye tendo exactly day ili sperm za mwanaume Y zinazotoa mtoto wa kiume zisife mapema(iwe ndani ya masaa 12 ya siku ya ovaluation)ukiwahi kufanya sperm za Y zitakufa mapema na yai likipevuka litakuta Y imekufa imebaki X ya mama na X ya baba hapo ni mtoto wa kike ila kama utafanya exactly day Y kwa vile inaspeed kuliko X yenyewe itawahi kufika na yai litaikuta Y hivyo atakua mtoto wa kiume.wa kike ni simple just mfanye kabla ya siku ya 14 au 18 yaani siku ya 12 na13 na siku ya 16 na 17 hapo Y itaenda speed na mwisho wa siku itakufa mapema X itakuja taratibu na kupata mtoto wa kike.
But ishu ya kuchagua mtoto ni kumwachia mungu sometimes zinagoma hizi theory maana kuna factor nyingi za kufuata

Pamoja na uchambuzi wako fasaha, je zipi ni safe days? yaani mwanake hawezi kupata mimba hata mkifanya?
 
Try to download an ovulation calendar and install in your laptop, make sure you update it monthly!
I hope this might help you!
 
Joseph safe days ukihesabu hadi siku ya 14 kwa wenye mzunguko mfupi (kuanzia anavyobleed)toa siku tano na jumlisha siku tano (yaani nyuma ya 14 na mbele ya 14)kwa wenye mzunguko mrefu hesabu siku 18 then toa siku 5 na jumlisha siku 5.hizo siku unazozitoa na kuongeza ni DANGER DAYS zilizobaki zote ni safe days.but sometime wengine huwa wanawahi na kujikuta wanapata mimba kutokana na mabadiliko ya mwili hivyo hii theory inaubaya na uzuri wake
Angalizo
Kikubwa hapo ni kujua mzunguko wake ni mrefu au mfupi na wengi huwa wanabadilika badilika kutokana na mazingira hivyo siku hazitafanana kila mwezi,njia hii wengi inawasumbua na mm sishauri sana best way ni kutumia KONDOM tu
 
Kumbe jinsia ya mtu inatokana na mwanaume, ok. Kuna watu wanajinsia mbili, au wengine haeleweki kabisa kama Caster Semanya hapa inakuwaje?

Nelsweeter yeah mwanaume ndo anauwezo wa kutoa sperm za kike au kiume but inahitaji mazungumzo ya wote na maandalizi ya kutosha ili wote muwe kitu kimoja.sometime theory zinagoma mungu naye anamkono wake katika uumbaji ndo maana kuna watu wana watoto wote wa kike au wakiume
 
hili swali sasa....hebu pitia pitia humu humu jf doc....kuna thread 113 za aina hii...mpaka picha....

dada Preta naomba ujue ukiona kitu kinarudiwa rudiwa ujue familia nyingi zinamatatizo kwa hiyo tuwe wavumlivu. siunajua si wengi wanapitia mitandao bali ni wachache na hii kutokana na mitandao na pia u busy wa maisha
 
Joseph safe days ukihesabu hadi siku ya 14 kwa wenye mzunguko mfupi (kuanzia anavyobleed)toa siku tano na jumlisha siku tano (yaani nyuma ya 14 na mbele ya 14)kwa wenye mzunguko mrefu hesabu siku 18 then toa siku 5 na jumlisha siku 5.hizo siku unazozitoa na kuongeza ni DANGER DAYS zilizobaki zote ni safe days.but sometime wengine huwa wanawahi na kujikuta wanapata mimba kutokana na mabadiliko ya mwili hivyo hii theory inaubaya na uzuri wake
Angalizo
Kikubwa hapo ni kujua mzunguko wake ni mrefu au mfupi na wengi huwa wanabadilika badilika kutokana na mazingira hivyo siku hazitafanana kila mwezi,njia hii wengi inawasumbua na mm sishauri sana best way ni kutumia KONDOM tu

Asante sana sasa nimeelewa vizri.
 
Ulimbo nashukuru sana kuniwekea link ila nashindwa kuielewa hii kalenda, waweza toa maelezo kidogo mkuu.

Nashindwa kuandika/kutoa maelezo sana, kwini itanichukua muda mrefu. Ila kama bado unahitaji msaada zaidi, mimi nipo Arusha kwa sasa, tunaweza kuwasiliana au nikupe no. ya simu ili tuelekezane.

Nimeweka hiyo Calendar na maelezo jinsi ya kuitumia.



WOMAN'S CONCEIVING AGE
MONTH OF
CONCEPTION 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31

January G B G B G B B G B G B G B B
February B G B G B B G B G B G B G G
March G B G G B G B B B G B G G B
April B G B G G B B G G B G G G G
May B G B G B B G G G G G B G G
June B B B G G G B B B G G B G G
July B B B G G B B G G B B B G G
August B B B G B G G B B B B B G G
September B B B G G B G B G B B B G G
Gctober B B G G G B G B G B B G G G
November B G B G G B G B G G G G B G
December B G B G G G G B G B G G B B

_____________________________________________________________________
WOMAN'S CONCEIVING AGE
MONTH OF
CONCEPTION 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45

January B G B B G B G B G B G B B G
February G B G B B G B G B G B G B B
March B B B G B B G B G B G B G B
April G B G B G B B B B G B G B G
May G G G G B G B B G B G B B G
June G G G G G B G G B G B G B G
July G G G G G G B G B B G B G B
August G B G B G B G B G B B G B G
September G G G G B G B G B G B B G B
Gctober G G G G B B G B G B G B B G
November G G B B B G B G B G B B G B
December B B B B B B G G G B G B G B

_____________________________________________________________________
EXPLANATION
You can choose for yourself whether you want a boy or a girl by following the chart. The woman's age from 18 to 45 (Chinese reckoning) is on the top line while the months 1 to 12 indicate the month when the baby is conceived. By following the chart you will be able to tell in advance whether your baby will be a boy or a girl. Thus, you can plan to have a boy or a girl. This chart has been taken from a Royal tomb near Peking, China. The original copy is kept in the Institute of Science of Peking. The accuracy of the chart has been proved by thousands of People and is believed to be 99 percent accurate.

By reckoning, you follow a line drawn from the figure representing the woman's age to a line drawn from the month the baby is conceived. For instance, if the woman is 27 years old and her baby is conceived in January (according to the Chinese Lunar Calendar), then her baby will be a girl. The chart is based on the month the baby is conceived and not on the birth of the baby, B-Male, G-Female.

 
Nashindwa kuandika/kutoa maelezo sana, kwini itanichukua muda mrefu. Ila kama bado unahitaji msaada zaidi, mimi nipo Arusha kwa sasa, tunaweza kuwasiliana au nikupe no. ya simu ili tuelekezane.

Nimeweka hiyo Calendar na maelezo jinsi ya kuitumia.



WOMAN'S CONCEIVING AGE
MONTH OF
CONCEPTION 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31

January G B G B G B B G B G B G B B
February B G B G B B G B G B G B G G
March G B G G B G B B B G B G G B
April B G B G G B B G G B G G G G
May B G B G B B G G G G G B G G
June B B B G G G B B B G G B G G
July B B B G G B B G G B B B G G
August B B B G B G G B B B B B G G
September B B B G G B G B G B B B G G
Gctober B B G G G B G B G B B G G G
November B G B G G B G B G G G G B G
December B G B G G G G B G B G G B B

_____________________________________________________________________
WOMAN'S CONCEIVING AGE
MONTH OF
CONCEPTION 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45

January B G B B G B G B G B G B B G
February G B G B B G B G B G B G B B
March B B B G B B G B G B G B G B
April G B G B G B B B B G B G B G
May G G G G B G B B G B G B B G
June G G G G G B G G B G B G B G
July G G G G G G B G B B G B G B
August G B G B G B G B G B B G B G
September G G G G B G B G B G B B G B
Gctober G G G G B B G B G B G B B G
November G G B B B G B G B G B B G B
December B B B B B B G G G B G B G B

_____________________________________________________________________
EXPLANATION
You can choose for yourself whether you want a boy or a girl by following the chart. The woman's age from 18 to 45 (Chinese reckoning) is on the top line while the months 1 to 12 indicate the month when the baby is conceived. By following the chart you will be able to tell in advance whether your baby will be a boy or a girl. Thus, you can plan to have a boy or a girl. This chart has been taken from a Royal tomb near Peking, China. The original copy is kept in the Institute of Science of Peking. The accuracy of the chart has been proved by thousands of People and is believed to be 99 percent accurate.

By reckoning, you follow a line drawn from the figure representing the woman's age to a line drawn from the month the baby is conceived. For instance, if the woman is 27 years old and her baby is conceived in January (according to the Chinese Lunar Calendar), then her baby will be a girl. The chart is based on the month the baby is conceived and not on the birth of the baby, B-Male, G-Female.


Nashukuru mkuu kama vp nipe phone no yako nkupigie.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom