lazima uwe na nokia suite kabla hujai-connect, weka laini yako ya voda ikikubali sasa toa hyo line ya voda na weka line yoyote unayotaka kutumia kazi kwisha... ukikwama watakuja wataalamu wengine kukusaidia.......
@dIZZLE
Nokia suite ninayo lakini haikubaliki kila nikiknnect yaani sasa simu yangu imeandikwa OVI NOKIA SIUTE LAKINI mie nina MOKIA SUITE sasa labda nio tatizo?