jchofachogenda
JF-Expert Member
- Jan 8, 2012
- 537
- 123
Oven ya kupashia moto chakula ya nyumbani aina ya Samsung inauzwa kwa bei nafuu,kwa anaehitaji anitumie private messege tuwasiliane.
Microwaves ndo zimepitwa na wakati.ovens zimepitwa na wakati.
Oven ya kupashia moto chakula ya nyumbani aina ya Samsung inauzwa kwa bei nafuu,kwa anaehitaji anitumie private messege tuwasiliane.
Kama unaitaka wewe nitakupa hata bure maana nakufahamu unapenda sana mtelemko,ila ukubali tu masharti yangu ambayo siwezi kuyataja hapa hadharani hivyo nifuate kwenye Private Message.Mbona vitu vyangu vingi nimekupa Oven kitu gani bwana mradi tu ufuate masharti yangu nitakupa bure kabisa sitaki hata sh.moja yako.Elfu Kumi na tano unakula?