mabina
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 216
- 26
Hi all.
Jamani wanaJF wenzangu naomba msaada/ elimu kuhusu kfanya changes ya outlook.
Officin kwetu wamenunua kampuni jngne ambalo llikuwa linatumia DOMAIN tofauti na yakwetu (eg mabina@uhuruone.net) sasa wanataka tuwaweke kwenye network yetu na waendelee kpokea na ktuma email zao. Je ni fanyeje ili waweze ktuma hizo imail?
MSAAAAAAAAADAAAAAAAAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!111
Jamani wanaJF wenzangu naomba msaada/ elimu kuhusu kfanya changes ya outlook.
Officin kwetu wamenunua kampuni jngne ambalo llikuwa linatumia DOMAIN tofauti na yakwetu (eg mabina@uhuruone.net) sasa wanataka tuwaweke kwenye network yetu na waendelee kpokea na ktuma email zao. Je ni fanyeje ili waweze ktuma hizo imail?
MSAAAAAAAAADAAAAAAAAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!111