FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Hahaha! Mi ndio maana huwa namwombaga wife anyoe upara. Biashara ya kumegewa na wakongo au wamasai siiwezi.
wivu tu unakusumbua haahahahahahah!
Hahaha! Mi ndio maana huwa namwombaga wife anyoe upara. Biashara ya kumegewa na wakongo au wamasai siiwezi.
hahahaaaaaaa jamani taratibu anayefanya hivi kweli kakubuhu lol!Kwa hiyo ndo kusema wewe unapo enda kuli touch lazima twende wote si ndo hivyo? Na vile vyumba vya kwenye saloon vya ndani kwa ndani vina nini vile maana mzee upo nje unasubiri kumbe njemba inaua njiwa 2 kwa jiwe moja.
huyu ni SHE mazee!Hivi mkuu umeoa/umeolewa? Mimi nilikuwa natoa 70,000/= kwa wiki kuretouch
Hivi mkuu umeoa/umeolewa? Mimi nilikuwa natoa 70,000/= kwa wiki kuretouch
Hivi mkuu umeoa/umeolewa? Mimi nilikuwa natoa 70,000/= kwa wiki kuretouch
hizi zilikuwa ni intitial costs za kuhakikisha anamnasa mchuchu!wajanja sana play-boysHehehehe! Papaa Fidel mutu ya pesa mingi! Siku hizi umepunguza bajeti? Nakumbuka siku ile ulimpa mchuchu 120,000 za saluni. Hahahaha!
huyu ni SHE mazee!
hahahaaaaaaa jamani taratibu anayefanya hivi kweli kakubuhu lol!
Nyie si mlishafundishwaga kwenye kitchen party? Au mnasahaugi mapema?
Tatizo hatuaminiani mimi nakwambia naenda Sinza kuonana na Nguli, Xpin, Masanilo, Geoff wewe unataka twende wote wkt kikao ni cha wanaume tu basi hata wewe unapo enda kwenye kitchen Party uwe unanilazimisha twende wote.
hizo nywele zinakuwa retouched every week? aaah huyo anakufunga goli la mkono huyo!
lakini acha tuwaulize wanaotia dawa, hesabu za saloon zinakwendaje?
nilijaribu kuacha kwenda baa kila siku niliishia kuumwa maralia kali!imenibidi niendelee.nafikiria propozo ya shemeji kuhamia kaunta!...tatizo wengine wanasema ooh..mazungumzo ya wanaume tuu. lakini wanakwenda huko na nyumba zao ndogo, tena wakaa nazo hapo hapo mezani..
wengine baa kuanzia J tatu hadi ijumaa eti kubadilishana mawazo, na kuongelea style ambazo wana zi practice na bar maid, wakifika nyumbani hakuna cha style wala nini..
watu akili ku mukichwa kweli kweli..
hivi wakuu,
kuhusu SEMENYA na kikao chetu sijui itakuwaje!
kichwa kinauma kweli kweli......!
atatumia bunduki gani siku hiyo?
hivi wakuu,
kuhusu SEMENYA na kikao chetu sijui itakuwaje!
kichwa kinauma kweli kweli......!
atatumia bunduki gani siku hiyo?
naona anastahili!akitumia bunduki tofauti fidel itabidi ajiexpressHii thread tunaruhusiwa kwenda off key? Hahahaha! Hilo jukumu tulikubaliana tumwachie mutu ya pesa mingi papaa fidel.
Du mwenzangu, huyu semenya huyu ataleta tabu huyu. sina taarifa na hiki kikao, labda ZD atakuwa na taarifa kutoka kwa switihati wake xpin.kikao kipi jamani ?? cha bunge kilichoanza au carmel unataarifa?????
hizi zilikuwa ni intitial costs za kuhakikisha anamnasa mchuchu!wajanja sana play-boys