Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,514
Huwa tunaangaliwa kuanzia juu hadi chini kama bidhaa za Kariakoo
Na visivyoonekana tunajaribu ku-imagine.....l.o.l
Huwa tunaangaliwa kuanzia juu hadi chini kama bidhaa za Kariakoo
Huwa tunaangaliwa kuanzia juu hadi chini kama bidhaa za Kariakoo
wanawake wana/tuna mambo!!!!!! most times hizo purukushani zote za kizushi, wengi wao ukipress just a lil bit harder unawapata... maigizo tu.
Mi nafikiri inategemea na msichana kwa wakati huo anakuwa amepitia mambo gani. Utakuta mtu jana yake katoka kumfumania boyfriend wake,au wiki iliyopita mtu aliyedhani atakuwa mumewe kaoa na yeye alikuwa hana taarifa yoyote na walikuwa wanaendelea na uhusiano kama kawaida. halafu ndio kakaa mahala anapita mwanaume anamtongoza, weweeeeeeee moto lazima uwake. Ila unamkuta msichana yuko katika moods nzuri anacheka na wenzake yupo happy halafu unamtongoza lazima tu atakujibu vizuri
Kwa hiyo ushauri wangu wanaume wawe wanamwangalia mtu kwanza kabla hawajamtokea nahisi sign zote utaziona usoni
wanawake wana/tuna mambo!!!!!! most times hizo purukushani zote za kizushi, wengi wao ukipress just a lil bit harder unawapata... maigizo tu.
ha ha ha ha ha.....kuna ukweli hapo kwa red
Exaclty....
Lakini sasa hawa wenzetu mara nyingi huwa wanaangukia kwenye wale wenye nyuso za.."usinisogelee" sijui inakuwaje hapa...ukute tu wamem-approach binti mwenye furaha, ana moods nzuri, aa wapi!! na wao wanaenda kulekule kwenye "ur out of my league"... maisha haya ya ajabu sana.
hahahahah . . . kumbe wengine wanajifanyisha tu kukupima
bora uambiwe hayo kuliko demu kujifanya, i miss you 2 kumbe pembeni anatoka na Mr 2.
to me: truth worth whatever cost i have to pay aftermath.
kama hamjaelewa subirini next week natoa singo langu featuring "msela bukta la jeshi"
its me. great thinker, thinking beyond the capacity of them great thinkers.
WARNING: if you are too serious you better avoid me cuz I always define life as a joke.
Duuuh :clap2::clap2:
Lakin . . . . unajua kwanini tunafanya hivi??!!
bora uambiwe hayo kuliko demu kujifanya, i miss you 2 kumbe pembeni anatoka na Mr 2.
to me: truth worth whatever cost i have to pay aftermath.
kama hamjaelewa subirini next week natoa singo langu featuring "msela bukta la jeshi"
its me. great thinker, thinking beyond the capacity of them great thinkers.
Hahaha.. umeona eeh...
Nope, pliz help me know why???
Here you are MAN . . . . :clap2::clap2:
Leney . . .
For serious relationship, most men are not interested with "AM AVAILABLE AND FREE, PLEASE TAKE ME" ladies coz any man can get her
Japo nina beef nawe.....umeongea jambo la msingi sana.....CONGRATS KLORO CONGRATS......
hehehe wenzio wote walioweka bifu na mimi wamekufa maskini. shauri yako lol
Okay then..... na upande wa pili the ladies are saying...."MTAKA CHA UVUNGUNI.....SHARTI....", so msilalamike basi.
and by the way, its not always the case, utakuta mtu alikusumbua weee kumpata, na bado ndani anakusumbua weee, na pia huyohuyo anaweza akawa anagawa tu....
Pia thinking about that.....kumbe ndo maana wasichana wengine wanalazimika kua hivo...moyoni wanasema..."Eeeh ngoja nijikatazishe, asije niona am available and free"