Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,694
- 58,763
Nimejikuta najiuliza kitu ikabidi niwaulize na nyie dadaz n kakaz!!!
Hivi mtu anapomwambia mwenzake 'we huendani na mimi....mimi huniwezi wewe...mi sio saizi yako' na mengine kama hayo huwa wanatumia vigezo gani kuona kwamba huyo mtu mwingine hana UBORA sawa na wao? Ni pesa....sura au tabia?
Vyoyote vile je ni haki kumwambia mtu mwingine maneno ya aina hiyo?I mean kumdharau mwenzako...kumpunguzia kujiamini au hata kumfanya ajione duni kunakusaidia nini?
Surely wapo humu waliowahi kutenda na kutendewa hivyo..hua inatokea sana wakati wa kutongozana...hata wengine mtu akimuuliza direction tu ishakua tabu!
Nywz my point is kama unamchukia mtu au unaona mtu anakuboa why not just walk away bila kumfanya yule mtu aanze kujiskia vibaya!?
Kua mstaarabu wafanyie wenzako vile ambavyo ungependa ufanyiwe....usionyeshe dharau iwapo wewe unataka kuheshimiwa!!!
My qoute of the day: Ubora wa mtu sio kitu ni utu!!
By Lizzy
Weekend njema.....y'all be good!!!
Hivi mtu anapomwambia mwenzake 'we huendani na mimi....mimi huniwezi wewe...mi sio saizi yako' na mengine kama hayo huwa wanatumia vigezo gani kuona kwamba huyo mtu mwingine hana UBORA sawa na wao? Ni pesa....sura au tabia?
Vyoyote vile je ni haki kumwambia mtu mwingine maneno ya aina hiyo?I mean kumdharau mwenzako...kumpunguzia kujiamini au hata kumfanya ajione duni kunakusaidia nini?
Surely wapo humu waliowahi kutenda na kutendewa hivyo..hua inatokea sana wakati wa kutongozana...hata wengine mtu akimuuliza direction tu ishakua tabu!
Nywz my point is kama unamchukia mtu au unaona mtu anakuboa why not just walk away bila kumfanya yule mtu aanze kujiskia vibaya!?
Kua mstaarabu wafanyie wenzako vile ambavyo ungependa ufanyiwe....usionyeshe dharau iwapo wewe unataka kuheshimiwa!!!
My qoute of the day: Ubora wa mtu sio kitu ni utu!!
By Lizzy
Weekend njema.....y'all be good!!!