Tusipinge vyote vilivyoelezwa na Adamu kama alivyosema Kafara,lamsingi ni kulifanyia kazi.Kaangalie baadhi ya watoto waliopo Foreign affairs ni watoto wa akina Lwaitara,Lowassa.Sio kama hawana sifa lahasha lakini uwepo wao pale unaweza sukumwa na nyazifa za wazazi wao.
Ni kweli kuna baadhi ya Balozi ni kama zimesahaulika.Niambie Balozi wa Tanzania nchini Japan anamiaka mingapi?Inaweza isifike 16 lakini miaka 6 nakwenda juu inafika na madhara yake ni kuwa anajenga uzoea.Na wapo wengine ambao hawajaguzwa na mabadiliko yoyote na wapo Ubalozini kwa muda mrefu.
Anaposema kuwa Watu wengi walikuwa wanakimbilia kufanya kazi Foreign Affairs ni kutokana na maslahi ikiwemo kwenda kusaidia Balozi fulani nchi fulani hizo ni miongoni na faida za kufanya kazi foleini.
Tunapoengelea Tanzania sasa hivi ukiwauliza watu wengi watakuambia wanataka kazi TRA,Wizara ya Fedha na BOT ambako kunavifaida vya kukaa huko.Hauwezi msikia mtu akasema nitaenda fanya kazi Liwale,Kasuru,Pangani,Kigoma,Rukwa kwani wanajua hali ya kimaendeleo sio safi.
Lamsingi hii ni challange kwetu kuweza tafuta evidence ya aliyoyaandika Adamu.
Ni kweli kuna baadhi ya Balozi ni kama zimesahaulika.Niambie Balozi wa Tanzania nchini Japan anamiaka mingapi?Inaweza isifike 16 lakini miaka 6 nakwenda juu inafika na madhara yake ni kuwa anajenga uzoea.Na wapo wengine ambao hawajaguzwa na mabadiliko yoyote na wapo Ubalozini kwa muda mrefu.
Anaposema kuwa Watu wengi walikuwa wanakimbilia kufanya kazi Foreign Affairs ni kutokana na maslahi ikiwemo kwenda kusaidia Balozi fulani nchi fulani hizo ni miongoni na faida za kufanya kazi foleini.
Tunapoengelea Tanzania sasa hivi ukiwauliza watu wengi watakuambia wanataka kazi TRA,Wizara ya Fedha na BOT ambako kunavifaida vya kukaa huko.Hauwezi msikia mtu akasema nitaenda fanya kazi Liwale,Kasuru,Pangani,Kigoma,Rukwa kwani wanajua hali ya kimaendeleo sio safi.
Lamsingi hii ni challange kwetu kuweza tafuta evidence ya aliyoyaandika Adamu.