Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
kishika posti muhimu kwa nchii za kiafrika si kwamba una uwezo.
ASHAROSE ametokea bongo mpaka UN tujikumbushe ni upi uliokuwa ufanisi wake kupelekea JK kumpendekeza kwa BAN MOON???
sofia simba ni waziri ila naamin IQ yake ni ndogo kuliko ya kuku wa kienyeji.
hahahaha umeua mkuu